Habari zenu wanaJF. Ninahitaji msaada wa kupata matokeo ya Form 2 kupitia kwenye mtandao. je kuna yeyote anafahamu jinsi ya kuyapata? Naona NECTA wala Wizara hawajaweka mtandaoni.
Nilikuwa nasoma Daily News ya leo na nikakutana na wasifu wa Rais Bingu wa Mutharika wa Malawi.
Kwa kifupi PhD yake ni ya Pacific Western University. A well known Diploma mill.
Tunapolalamika kuhusu PhD feki za viongozi wetu, jirani zetu wana RAIS mwenye PhD feki.
Hi Everyone,
Is there by any chance in this forum, an acquaintance of Godfrey Mwampembwa a.k.a. GADO? The famous political cartoonist of the Daily Nation Newspaper and the creator of the XYZ show.
Kindly PM me. all I need are his contacts, preferably email account or phone.
Your assistance...
Members,
If there is anyone who has been through the army or at least JKT, could they assist me in this matter.
I need the drill commands that we use for marching. I know some of them but I need a few more.
Stand at ease - mguu pande
Attention - mguu sawa
Forward march
Goose...
The worse blunder or marriage of an African leader to a second wife is that of Cameroons President Paul Biya to Chantal Vigoroux. Contrary to leaders such as Robert Gabriel Mugabe, Mathew Olusegun Obasanjo, Albert Bernard Bongo Odimba or Laurent Gbagbo, Paul Biya is not charismatic. But like...
kwa wanajamiiforums wote,
Ninahitaji clips chache za taarifa ya habari inayosomwa kwa kiswahili yaani kutoka katika televisheni za Tanzania. Iwe ya kipindi chochote cha nyuma au hata za hivi karibuni. Ningependelea zaidi TV clips. Sina preference iwe ITV, StarTV, Channel TEN au TBC...
Last night, I watched David Leterman and I laughed my heart out!!!!
He made a list of the least popular holiday songs on his top ten list. You should watch this, its hilarious (at least to me) Enjoy
CBS | Late Show with David Letterman : Video
A wedding turned chaotic on Sunday after an alleged ex-lover stormed the Deliverance Church, Kitengela to stop the ceremony. Here are the pics
1. Poor bride???
2. Here is the culprit with child? I guess? People trying to reason with her
3. You name it?
4. Confused relatives...
Noisy sex gets man banned from home
A court finds that the couple's antics violate a noise abatement order
The Associated Press
updated 8:49 p.m. ET, Thurs., Aug. 14, 2008
LONDON - A British man has been banned from visiting his girlfriend's home after neighbors complained about noisy...
Msaada tafadhali waTanzania,
Mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa Olympics ila kuna jambo linanitatiza hapa. Leo ni siku ya nne tokea mashindano ya swimming yalianza kufanyika. Sijui ni wangapi wana taarifa kuwa tumepeleka watanzania wawili kwenda kushindana katika kipengele hiki cha mashindano...
The East African Standard Newspaper
Published on 02/08/2008
By Patrick Muriungi And Boniface Gikandi
A woman accused of snatching husbands was on Friday stripped naked and frogmarched to the chiefs camp in Meru town.
The woman from Runogone village in Imenti North District had...
WanaJF,
Katika pitapita zangu nimeona hatuna thread ya Political cartoons. Sometimes we need humour hata katika yale yenye kutuumiza kiakili. Kwa hiyo nimechukua fursa hii kuiazisha thread hii ili yeyote mwenye political cartoon abandike hapa ili tufurahi pamoja.
ninaanza na ya US elections 08
Hello watanzania mliopo duniani kote na wenye mapenzi mema na entertainment industry ktk nchi yetu. katika pitapita zangu nilikutana na post hii. hebu someni mniambie mawazo yenu. I will try cut and pasting it just incase maana wengine tuko technically challenged.
Someni pia na comments...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.