Search results

  1. Mani H

    kanye west inspirational interview

    ​​http://www.youtube.co​m/watch?v=8dV2QWRXrUI
  2. Mani H

    Interview with H.E. Benjamin Mkapa Former President on leadership and the challenges faced.

    UONGOZI Institute interviews the 3rd President of Tanzania on leadership and the challenges faced. Mr. Mkapa, a journalist, diplomat and politician, was elected President of Tanzania in November 1995 and re-elected President in 2000 for another five year term. As President, Mr. Mkapa continued...
  3. Mani H

    kuna uhusiano gani kati ya kiss na macho?

    I hope ni wazima wanajf,katika pitapita zangu nimegudua kitu kuhusu kiss, mara nyingi mkiwa mnapiga kiss na mpenzi wako hasa kiss ya face 2 face mmoja au wote lazima mfumbe macho, ni kwanini hutokea hivi? Tena wakati mwingaine hata kiss za mashavuni bado macho yanafumbwa. Mwenye ufahamu na hili...
  4. Mani H

    kwa nini kiss iko hivi?

    I hope ni wazima wanajf,katika pitapita zangu nimegudua kitu kuhusu kiss, mara nyingi mkiwa mnapiga kiss na mpenzi wako hasa kiss ya face 2 face mmoja au wote lazima mfumbe macho, ni kwanini hutokea hivi? Tena wakati mwingaine hata kiss za mashavuni bado macho yanafumbwa. Mwenye ufahamu na hili...
  5. Mani H

    Baada ya ndoa neno hili alitumiki tena.

    Wanaume walikuwa kwenye semina wakaulizwa., mara ya mwisho kumwambia mkeo kuwa unampenda ni lini? wengine wakasema leo asubuhi, wengine muda sio mrefu. Muwezeshaji akawaambia kila mmoja sasa hivi amuandikie mkewe sms amwambie nakupenda mke wangu halafu badilishaneni simu kila mmoja asome majibu...
  6. Mani H

    Baada ya ndoa kweli mambo yanabadilika kama hivi

    Wanaume walikuwa kwenye semina wakaulizwa., mara ya mwisho kumwambia mkeo kuwa unampenda ni lini? wengine wakasema leo asubuhi, wengine muda sio mrefu. Muwezeshaji akawaambia kila mmoja sasa hivi amuandikie mkewe sms amwambie nakupenda mke wangu halafu badilishaneni simu kila mmoja asome majibu...
  7. Mani H

    soldiers hata kupika mnapika kisoldier?

    Du!hata kama nizege kama unaroho nyepes huwez kula, Cheki zege la kisoldier
  8. Mani H

    Unakumbuka nini ukiona hii

    Me nakumbuka kipindi cha mama na mwana kilikuwa mchana mara nyingi wakati huo nilikuwa nawait chakula, na mother yuko jikon anapika.
  9. Mani H

    Vyuo vya india vinavyotambulika na tcu....

    Waungwana naomba nisaidiwe kwa hili nataka nijue ni vyuo gani vya india vinavyotambulika na tcu au ni sifa gani wanazozitumia tcu kukitambua chuo kuwa ni sifa za chuo? thanks
  10. Mani H

    NAOMBA MSAADA KITABU CHA PROF. KAMI S.P.Rwegasira ( Inflation in Tz : causes, effects and control)

    ndugu zangu poleni na kazi na shule kwa wengine , nomba mwenye kitabu(pdf) cha huyo prof or anayejua kinapatika through internet basi anisaidie. na hata kama unavijua vingine vya huyo prof. Rwegasira or kitabu chochote cha inflation in tanzania (1966-2011) basi nisaidie naviitaji . thanks
  11. Mani H

    Man dies of "sexual sweetness" imekaaje hii

    malawian man who collapse and die while having sex with a prostitute was killied by sex sweetness, wanajf hii imekaaje maana me binafsi aingii akilini.
  12. Mani H

    mh! hii sijaifahamu naomaba ufafanuzi kidogo..

    nimependa video yake ni mzuri sana, ila bado sijajua hii ni tv show au series na iko kwa upande up zaidi yaani sports, fashion, drama, comed, au ni nini? nimeona youtube na imeandikwa kuwa inaonyeshwa EATV TANZANIA , ndugu zangu mlioko tz na mnafatilia iki kipindi naomba mnijuze...
  13. Mani H

    Ha ha haaaa...wahaya mpo!!!?????

    HA HA HAAA.. WAHAYA MPO!!!???? just a joke *Doctor Kimaro : What happened to your arm? > Mutagwaba : I broke it. > Doctor Kimaro : Where and How did that happen? > Mutagwaba : Okey. It was a normal Saturday afternoon. I was on my balcony sip... .. > Doctor Kimaro : Is that where you...
  14. Mani H

    Beyonce stole my dance!

    YouTube - ‪Beyonce Africa Call Out. from where!‬‏[/video] this is where she got http://The truth is: The two African male dancers dancing next to Beyonce are two of the 3 African dancers in this video. They're called Tofo Tofo dancers and they're...
  15. Mani H

    Na hii inawezekana kuwa sababu ya kuwa na matokeo mabaya alevel mwaka huu?

    migomo ya mara kwa mara ya vyuo hapa nchini inawezekana ikawa ni sababu ya kupungua kw idadi ya waliopass alevel mwaka huu kulinganisha na miaka ya nyuma?. me kwa mtazamo wangu kabla matokeo haya nilifikiria hili na kumweleza rafik yangu kuwa hii migomo inaweza ikaathiri matokeo ya alevel, na...
  16. Mani H

    Mwanafunzi wa BA (Econimics) kusoma short course za computer imekaaje?

    SALAM KWA WOTE, me nimwanafunzi wa ba (economics) natamani na napenda kusoma short course za computer kama vp networking au oracle, vp wezangu imekaa poa au nakosea?
  17. Mani H

    Please tell me, ' what women want from men'

    SALAM kwa wana mmu , naomba majibu yenu maana nadhan ndio solution yangu, kwa ufupi ninatatizo la kutodumu na wapenzi, mpaka hapa nilipo nishawahi kuwa na uhusiano na wanawake kama nane hivi kila mmoja kwa kipindi chake , ila lakunishangazi sijawahi kudumu na mwanamke yeyote zaid ya miezi sita...
  18. Mani H

    Naomba ushauri

    SALAM kwa wakubwa na hi kw vijana wenzangu,me ni mwanafunzi wa mwaka wa mwisho BA(economics, public administration na political science), ninamalengo ya kuungunisha kusoma master, ila tatizo langu kubwa ni bado sijajua kitu gani nitasoma master ambacho kinamarket katika soko la ajira na pia...
Back
Top Bottom