Search results

  1. chama mpangala

    Ni rahisi kwa mtoto kilaza aliyezaliwa kwenye familia ya kitajiri kutusua kuliko mtoto smart aliyezaliwa kwenye familia duni

    Barua ya Wazi Kwa Vijana Wote WANAOJITAFUTA 🫡 Mitaa inasema: 👇 Ni Rahisi kwa Mtoto Kilaza Aliyezaliwa kwenye Familia ya Kitajiri Kutusua Kuliko Mtoto Smart Aliyezaliwa kwenye Familia Duni. 98% tumezaliwa familia za unga unga mwana. Yaani unazaliwa maisha yashakupiga unbeaten tayari...
  2. chama mpangala

    Itambue GPT-4o na Zana Zaidi kwa Watumiaji wa Bure wa ChatGPT

    Siku ya tarehe 13.05.2024 imezinduliwa modeli mpya kabisa GPT-4o na kufanya uwezo zaidi kupatikana bila malipo kwa watumiaji wa ChatGPT. GPT-4o ni modeli mpya kabisa inayotoa akili ya kiwango cha GPT-4 lakini ni ya haraka zaidi na inaboreshwa katika uwezo wake wa maandishi, sauti, na picha...
  3. chama mpangala

    Mfahamu Producer Mikka Aleksanteri Kari A.K.A Mika Mwamba

    Mwaka 1993 MIIKKA ALEKSANTERI KARI akiwa anaipambania elimu yake ya chuo kikuu . Ndipo anapewa Information kuwa anapaswa kuja nchini TANZANIA haraka iwezekanavyo. Taarifa ile ilimtaka MIIKKA kuwasiri TANZANIA akiwa na watu kadhaa Walifika TANZANIA na hapo wakapokelewa na mtu aliyejitambulisha...
  4. chama mpangala

    Jinsi vitunguu Saumu vinavyonufaisha Afya ya wanaume

    1. Kuimarisha Afya ya Moyo Vitunguu saumu vina alicin, ambayo inaweza kusaidia kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo kwa kusaidia kudhibiti viwango vya cholesterol na shinikizo la damu. 2. Kuongeza Viwango vya Testosterone: Utafiti unaonyesha kwamba kula vitunguu saumu kunaweza kusaidia kuongeza...
  5. chama mpangala

    Usipompa kazi mwanao, atapewa kazi na shetani

    Tuwafundishe watoto wetu kazi kuanzia nyumbani mpaka shuleni. Tuwalee watoto wetu kama binadamu na siyo kama mifugo. Zamani shamba la mwalimu lililimwa na wanafunzi, kuni za mwalimu zililetwa na wanafunzi na maji alichotewa na wanafunzi. Mwanafunzi alijisikia fahari kutumwa na mwalimu wake...
  6. chama mpangala

    Fahamu Mmea huitwao MCHUNGA ( DANDELION) inavyotibu maradhi sugu.

    Mchunga ( Dandelion) ni mmea wenye faida nyingi sana Binadam. Hapa Tanzania unapatikana porini na majumbani kama maua. MCHUNGA ni mmea unafaha na kutibu maradhi mbalimbali kama vile; Matatizo ya mifupa kukosa damu -matatizo ya mkojo -kisukali - Figo -Ini -Kansa ya damu kansa ya utumbo mpana...
  7. chama mpangala

    Natamani kufahamu hatua zipi za kufuata ili niweze kuwa wakala wa kampuni za betting

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natamani kufaham hatua zipi za kufuata ili niweze kuwa WAKALA wa kampuni za Betting kama, MERIDIANBET, PLAYMASTER, PRIMIERBET na nyingine zinazofanana na hizo. Naomba Mwenye uzoefu au aliyefungua Ofisi anisaidie hatua za kufuata niweze kufungua Ofisi Mkoani...
  8. chama mpangala

    Majabu ya mbegu ya parachichi katika kutibu magonjwa

    MBEGU za PARACHICHI hutibu magonjwa ya fuatayo. 🌿High blood pressure 🌿High cholesterol 🌿Asthma 🌿Low immunity 🌿Cancer of the blood 🌿Obesity 🌿Candidiasis Unachotakiwa kufanya ni kuchukua MBEGU ya PARACHICHI na kuisaga alafu utapata Unga. Matumizi: Utakuwa unachemsha maji anaweka kwenya kikombe...
  9. chama mpangala

    Faida za kupaka mafuta nyayoni wakati wa kulala (usiku)

    FAIDA ZA KUPAKA MAFUTA NYAYONI WAKATI WA KULALA USIKU 1. Mwanamke mmoja anasema babu yake aliishi miaka 87 bila ya kuumwa na mgongo, viungo, kichwa, meno wala mwili baada ya kufunzwa siri na mzee mmoja wa Kolkata alipokuwa anafanya kazi ya kuweka mawe juu ya reli akamuambia apake mafuta nyayoni...
  10. chama mpangala

    Faida nyingi za kutembea kwa mguu

    Miguu yote miwili kwa pamoja ina 50% ya neva za mwili wa binadamu, 50% ya mishipa ya damu, na 50% ya damu katika mwili wako wote inapita kupitia hiyo. ▪️ Ni mtandao mkubwa wa mzunguko wa damu unaounganisha mwili. _*hivyo tembea kila siku.* ▪️Ni pale tu miguu inapokuwa na afya nzuri ndipo...
  11. chama mpangala

    Zijue faida muhimu za mmea wa Bamia (Okra)

    🥕1. Awali ya yote, ukichukua majani ya bamia ukayachoma kwenye moto na ukachukua yale majivu ukayapaka kwenye ngozi au kidonda ni tiba ya vipele na allergy kwenye ngozi. 🥕2. Halikadhalika ukichukua bamia mbichi ukawa unatafuna pamoja na mdimu kila siku asubuhi kama ulikuwa na kinyama kwenye...
  12. chama mpangala

    Mbinu gani nzuri ambayo itanisaidia kuhifadhi hizi sarafu za zamani?

    Kama mada inavyojieleza hapo juu. Naomba MWENYEWE kufahamu njia bora kabisa ya kutunza hizi coins zisipate KUTU.
  13. chama mpangala

    Naombeni msaada kuwasiliana na watoa huduma mtandao wa Vodacom

    Wadau hongera kwa mapumziko ya Eid. Kama mada inavyojieleza. Nimejaribu kupiga 100 na 101 sijapata mwongozo wa kuwapata wa hudumu wa Vodacom moja kwa moja kama ilivyokuwa awali badala yake wanakuambia utumie mitandao ya kijamii. Lakini nimejaribu kutumia naomba ya wakala nimewapata nabkuwaeleza...
  14. chama mpangala

    Nataka kununua mchele wa mwaka huu halafu niuuze baadaye

    Poleni wanaJF kwa majukumu na mapambano ya CORONA tukumbuke kufuata maelezo ya wataalam. Kama kichwa cha Habari kinavyoele naomba ushauri wenu wataalam wa Biashara ya Mazao. Nataka kununua mchele wa mwaka huu niuhifadhi niuze hapo baadaye. Je, kuna athari yoyote?
  15. chama mpangala

    Wagonjwa wa Corona wadaiwa kuvunja geti hospitali ya Amana na kutoroka. Mwananyamala waleta vurugu wakitaka waruhusiwe

    Kuna taarifa zinasambaa ambapo inasemekana wagonjwa wa COVID-19 walikuwa wamelazwa hopitali ya AMANA wamevunja Geti na kutoroka. Inasemekana hii ni kutokana na kutelekezwa bila ya kupatiwa huduma na kutelekezewa maiti hospitalini. Mwenye update kamili atujuze mimi nimepata Clip za Audio...
  16. chama mpangala

    Naomba msaada wa tatizo la kutokwa damu puani

    Wanajukwaa poleni na majukumu. Naombeni msaada wenu wa tiba na mawazo kwa huu ugonjwa. Mama yangu kapatwa na tatizo la kutokwa damu puani ni mwezi sasa na umri wa miaka 50+ lakini bado ana nguvu zake vizuri tu. Ameenda hospitali kuna sindano amekuwa akichoma lakini haijasaidia.
  17. chama mpangala

    Ni haki pesa za nauli za watumishi(walimu) kutumika katika matatizo binafsi ya mkurugenzi?

    Hili limetokea Halmashauri ya Mji Bariadi. Mkurugenzi alisababisha ajali siku ya Jumatatu ya Tarehe16 /09/2019 saa tatu usiku. Alikuwa na NOAH ambayo iligongana uso kwa uso na Pikipiki na kupelekea kifo cha kijana aliyekuwa anaendesha Pikipiki papo hapo. Kabla ya Ajali hiyo siku ya Alhamisi ya...
  18. chama mpangala

    MREJESHO: Tiba ya maumivu makali ya kidole

    Siku ya tare 19 /09/2017 kama sijakosea hiyo tare nilileta uzi wa kuomba msaada kwa anayefahamu tiba ya maumivu ya kidole yanayokuwa yanatokea ghafla tu pasipo kufahamika chanzo chake. REJEA: Tiba ya kidole: Nina maumivu makali sana kidole cha mkono wa kushoto Wengine wanasema ni mdudu ambapo...
  19. chama mpangala

    Tiba ya kidole: Nina maumivu makali sana kidole cha mkono wa kushoto

    Nina maumivu makali sana ya Kidole cha mkono wa kushoto ambayo yalianza taratibu tu Sijaumwa na mdudu na wala sijajikata au kuchomwa na kitu chochote. Baadhi ya watu wanasema ni mdudu wa kidole ambaye huwaga anasababisha maumivu makali sana maumivu yameanza jana jioni, usiku yamekuwa makali...
Back
Top Bottom