Search results

  1. Revola

    Msaada Tafadhali

    Computer yangu HP inaniletea haya maandishi shida inaweza kuwa nini please
  2. Revola

    Mashabiki wa Simba wamehamia kwenye kumshutumu GSM kudhamini timu zaidi ya 6

    Kuna upepo hivi sasaa unasambaa kama moto wa petrol kuwa inakuwaje kwenye ligi moja mdhamini aweze kudhamini timu 6 kwenye ligi moja? Kwa maana hiyo hizi timu ndogo zinazodhaminiwa na GSM zinaipa yanga matokeo ya bure kwa sababu tu zinatokana na mdhamini kuwa mmoja. Swali la kujiuliza je SIMBA...
  3. Revola

    Sasa hivi nyuzi zakuiponda yangu zimepungua kabisa kama sio kuisha

    Wakuu watanzania wengi pamoja na unafiki wao wakuiponda yanga bila facts, kwa sasa Yanga imewafunga midomo na watu wengi wakifikilia kuiandikia upupu wakikumbuka walijalibu kuiansikia upupu kipindi kilichopita na maneno Kama "yanga kuifunga Belozdad ni sawa nakuvaa boxer nakuvuka maji bila pumbu...
  4. Revola

    Mliosema tangia mwanzo kuwa Yanga ni 'Underdog' kwenye kundi lake mpo humu?

    Kuna mashbiki maandazi wa simba waliiponda sana yanga na kulikuwapo nyuzi nyingi sana za kuiponda yanga kwamba haifiki popotee na haina uwezo wakuifunga CR kwa kweli kuna muda Kama shabiki wa yanga kutokana na akili za mashabiki wa simba kubeza yanga unajikuta unapata hasira sana za kwa nini...
  5. Revola

    Ni mechi gani ya CAF champions 2023 Yanga imecheza na kuzidiwa? Ukiacha ile ya CR aliyofanya mistake akufungwa?

    Tukubali tukatae yanga ya sasa siyo kinyonge aisee, kuna mashabiki wakati yanga inapoteza nyumbani kwa CR, watu wengi sana walisema yanga atamaliza kundi wamwisho na hatopata point(poor mindset) kwamba wapinza watajichapia mwanzo mwisho hii ni mentality ya USIMBA NA UYANGA (KUBEZANA).Kila Yanga...
  6. Revola

    Yanga ikifanya hivi inatoboa kwenye robo fainali mapema tu

    Raundi ya tatu Yanga akichukua point moja kwa Medeama halafu Belouzdad akifa kwa Ahly ugenini kundi litakuwa hivi... MSIMAMO 1. Al Ahly points (7) 2. Medeama points (4) 3. CR Belouzdad points (3) 4. Young Africa points (2) Raundi ya nne yanga watakuwa nyumbani Benjamin Mkapa Dar es Salaam na...
  7. Revola

    Msaada wa haraka please wataalamu

    Hello laptop yangu Hp mwanangu kaipiga imeachia kwa nyuma na ina vitu vingi vya muhimu sana nahofia inawezekana ikazima, ila kuwaka inawaka fresh issue ni nyuma hapoo naomba msaada inahitajika nini kuirudisha mahala pake? Na gharama ya matengenezo
  8. Revola

    Msaada wa haraka please

    Simu yangu ni infinix note 5 inatumia line mbili, nimepata tatizo la kupoteza kwa network line ya halotel, Nina line mbili zote nikiweka network inakuja baada ya muda zinakata zote su inakuja moja tu, nikiweka Tigo si vida hazisumbui ila halotel inasumbua sana tatizo nini? NB: nipo Dar mtandao...
  9. Revola

    Unaachaje kusoma hapa kwa mfano?

    Story moja hivi nawapa, so back then 2019, nilikutana na pisi kali tukazoeana fresh. tukuchat sanaaa. And damn she was smart and confident. Basi one day akaniambia tutoke so akachagua place, mwamba nikajipanga fresh Kama na 300k hivii. Mtoto alikuwa kwao Mambo safi sana, tukaenda hotel moja...
  10. Revola

    Msaada kuhusu WhatsApp yangu

    Wakuu habarini za mchana, moja kwa moja kwenye shida yangu, juzi niliweka simu yangu mfukoni nikakuta imejibonyeza bonyeza na hasa kwenye WhatsApp, sasa shida ni moja tu imestak yani nikiwasha data messages haiziingii kana kwamba data nimezima wakati ipo on. App zingine nikiwasha data zinafanya...
  11. Revola

    Huu mchezo wa wafanyabiashara wa k/koo kutoa risiti zenye bei tofauti na iliyolipwa umezidi sasa

    Aiseeeeee yani kila sehemu nowadays wanunuzi wanatongozwa kwa maneno matamu ili waandikiwe risiti ya bei tofauti na waliyonunulia inakera sana serikali yangu elekezeni nguvu kubwa kariakoo. Mara nyingi tuu ndani ya miezi minne mfululizo nimekuwa nikienda k/koo kununua vifaa vya ndani fridge...
  12. Revola

    Ujinga Wa Mabinti Wanaojiona Wazuri

    1-Very Selective 2-Over Confidence 3-Able to lose no matter what 4-Wanaumizwa sana ila hawajifunzi 5-Hawajali wala hawaogopi kupoteza ama kupotezewa muda 6-Wamesahau kuwa uzuri wao unakoma, kesho tu tutawachukua wadogo zao. 7-Hawapendi kazi isipokuwa yakitandani 8-Wengi wao hawana busara...
  13. Revola

    Dada zetu Tanzania mbona hamuolewi?

    Mbona watu wengi sana (nowadays) hawaoi hapa kwetu wanaenda nchi zingine? Mnashida gani hebu tuambieni sisi wanaume then naona kwa binafsi yangu kama mpo (too selective)? Wengi mnatukana sana matusi Instagram, ushabiki kwa udaku udaku tuu, hakuna tabia kama ya wanawake kama Zari mfano sio...
  14. Revola

    Msaada Please Jina Na Nyimbo Ya Msanii Katika Hii Video

    Msaada jamani nimeitafuta sana bila mafanikio, Mara ya kwanza kuisikia na kuipenda ilikuwa ktk movie ya Anold Schwarzenegger Predator.
  15. Revola

    Hii Simu Tecno Camon X bei gani?

    Napenda IPhone kuliko hizi mchinaz
  16. Revola

    Daaah hizi Barbershop nyinyi kinadada mmetuweza

    Hakika nawaambieni sisi wanaume kwa hizi Barbershop kuzikimbia inataka kama kuwa ngumu hivi? Kwanza hawa kina dadaz wa Saloon za kiume wameteka sana soko then wanapenda sana Tip. Yaani imekuwa kama lazima kumbe ni hiari ya mtolewa huduma. Halafu hawa Dadaz wajanja sana akitaka kukuhudumia...
  17. Revola

    Msaada naitafuta hii Movie inaitwa 'REGINA'

    Mwenye hii movie inaitwa Regina iliyotolewa na kampuni ya JB Jerusalem films anisaidie. Nimeitafuta miaka miwili iliyopita bila mafanikio. Tafadhali mwenye nayo anisaidie naipenda sana.
  18. Revola

    Hivi hii tabia ya kulipiwalipiwa wanawake mmeipata wapi?

    Si 50/50 Jamani [emoji23]
  19. Revola

    Kama upo hapa Diamond Mwanza nistue

    Wakuu tustuane kama upo hapa tusalimiane
  20. Revola

    DStv iko poa sana nunueni msiogope

    Hello ndugu zangu habarini za jumamosi, Jana nimefanikiwa kuvuta dstv kiukweli channel ni nyingi ktk kifurushi cha bomba na offer yao ya miezi miwili inaitwa THE PUNGUZO buree, kwa 79,000/= na ufundi 20,000/= tu ukiwapa 100,000/= sio mbaya now nainjoi sana ni full HD kwa t-shs 19,000/= kwa mwezi.
Back
Top Bottom