Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Naomba leo anayejua anieleweshe hapa, kwa nia nzuri kabisa. Yesu alisema tuombe kwa kupitia Jina lake, inakuwaje watu wanaomba kupitia maria? naangalia tumaini tv hapa padre akasema tuombe kwa...
15 Reactions
223 Replies
3K Views
Imethibitishwa kuwa raisi wa Iran alikuwa ndani ya helicopter hiyo iliyopata ajali. Vikosi vya uokoaji vimeshindwa kutambua na kufika neo husika ilipotokea ajali hiyo kwa sababu ya hali mbaya ya...
28 Reactions
1K Replies
36K Views
Wakuu kwema Tunajua historia ya Tanzania, Mwalimu Nyerere aliwahi kuingia katika mgogoro au vita na iliyokuwa jumuiya ya Waislamu (East Afric Muslims Welfare Society) ambayo mgogoro huo ulipelekea...
9 Reactions
112 Replies
4K Views
Mwendesha mashtaka mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita, ICC, ametoa maombi ya kukamatwa kwa Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na kiongozi wa Hamas katika Ukanda wa Gaza kwa...
1 Reactions
6 Replies
178 Views
Kudadadeki kamata Kiteknolojia Mfumo wa Mawasiliano hasa wa Ndege(Anga) kisha fuatilia kwa umakini sana Ratiba za Kiongozi wa Juu kisha msetini vyema katika Target na akijaa tu ingilieni Mfumo wa...
1 Reactions
35 Replies
428 Views
Inaelezwa kuwa Mradi mkubwa wa kuvuna gesi asilia wa Lindi LNG huenda ukaota mbawa na kuyeyuka kufuatia mkwamo Mpya uliosababishwa na milolongo ya majadiliano isiyoisha ambapo timu Mpya ya...
2 Reactions
33 Replies
217 Views
Wakuu mimi wa muda mrefu huku jf nilikuwaga na account yangu nikaipoteza, ombi langu kwenu ni naomba mwenye kibarua chochote anisaidie nipo mkoa wa arusha nina diploma ya accounting yenye G.P.A...
3 Reactions
1 Replies
20 Views
Uteuzi wa Makonda kwenda kuwa mkuu wa Mkoa wa Arusha nina hakika ni mpango mkakati wa Mama wa kutaka Arusha sasa siasa zake zibadilishwe kwa kufanyiwa kazi kwa kero za wananchi kweli kweli. Nina...
2 Reactions
26 Replies
878 Views
Kwanza nitoe pole Kwa taifa la Iran Kwa kumpoteza Kiongozi wao, Pili, inafaa Ulinzi uimarishwe Kwa Ayatollah Ali ili kumlinda na mashambulizi ya maadui ambao dunia inawajua Ila ndo vile
0 Reactions
4 Replies
37 Views
Wanaume wengi na vijana wengi wa humu hawana pesa ndefu wala michongo ya kueleweka kama wanawake ndo maana wanaume wa humu wamejaa makasiriko. Kila uzi wanawake, mara singo mom jamani tafuteni...
36 Reactions
324 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,855,421
Posts
49,662,286
Back
Top Bottom