Mradi wa gesi-Lindi LNG Wa Thamani ya Trilioni 105 Hatihati Kukwamishwa na Michakato Isiyoisha. Ulitarajiwa Kuwa Legacy ya Samia

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
45,536
52,583
Inaelezwa kuwa Mradi mkubwa wa kuvuna gesi asilia wa Lindi LNG huenda ukaota mbawa na kuyeyuka kufuatia mkwamo Mpya uliosababishwa na milolongo ya majadiliano isiyoisha ambapo timu Mpya ya Majadiliano ya Serikali imeibua madai ya Kupitia upya Baadhi ya Vipengele.

Mradi huo ambao ulikuwa umekwaman Kwa awamu 2 zilizotangulia,ulipigiwa chapua na Rais Samia ambae alifufua majadiliano na kuwarudisha wawekezaji ambao walishautupilia mbali.

Licha ya juhudi hizo za Rais Samia Bado amekwaa kisiki hivyo Kuna dalili chache sana kufaulu Kwa mradi huo ambao ungemimina matrilioni Kwa mabilioni ya Dola Nchi ukikadiriwa kuwa na thamani ya zaidi ya Trilioni 105($42bln).

Mapema Mwaka huu wawekezaji wakiongizwa na Kampuni ya Kimarekani walionya kwamba huenda wakajitoa kutokana na milolongo isiyoisha.

View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1792499817639297241?t=q9ggbidfYQ_fpT-HclhssQ&s=19

My Take
-Magadi soda umekwama
-Liganga&Mchuchuma umekwama
-Bagamoyo Port imekwama
-Na Lindi LNG inaenda kukwama.

Itikadi za Kijamaa zinalitafuna Tiafa.Huwezi pata 50/50 hujaweka mtaji, teknolojia,utafiti Wala huna soko.

Kifuatacho ni kudodewa maana Dunia inahama Kwa Kasi kutoka kwenye Nishati chafu za Mafuta na gesi inaelekea Kwenye Nishati safi hususani Umeme na Hydrogen.

Mozambique ambao viwanda vya LNG vinaendelea na ujenzi Wana gesi nyingi kuliko Tanzania lakini mbona hatusikii milolongo isiyoisha?

Pole sana Rais wangu Samia ,hii ndio Tanganyika na Hawa ndio wajamaa(wanyonge) wanataka kuvuna ambapo hawakupanda 😁😁😁😁.

View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1792525316306448805?t=DsgaiFSV1Acj_SLJA2GwUw&s=19

Pia Soma Marekani yaitahadharisha Tanzania juu ya Uchelewashwaji mradi wa LNG, Wawekezaji mbioni kujitoa

Wawekezaji wanataka sera zinazotabirika sio upuuzi wa uzalendo na ujinga mwingine wa unyonge and Suhh ujamaa nonsense.

Mozambique LNG progress 👇👇
Screenshot_20240526-075952.jpg
images (33).jpeg
images (32).jpeg
 
Lobbyist kazini
Hakuna Cha lobbyist yaani upoteze matrilioni kisa ujinga?

Bora Investors wajitoe ni kupotezeana mda ,ambao wangetumia kwingine.

Namibia hapo Wamegundua mabilioni ya mapipa ya Mafuta kushinda Angola na soon wanaanza uzalishaji kuwahi deadline kabla mafuta hayajawadodea na kuwa na bei ya kipuuzi kama makaa ya mawe.

Tanzania iendelee kujivuta vuta tuone nani atapoteza, wawekezaji au Tanzania.
 
Hakuna Cha lobbyist yaani upoteze matrilioni kisa ujinga?

Bora Investors wajitoe ni kupotezeana mda ,ambao wangetumia kwingine.

Namibia hapo Wamegundua mabilioni ya mapipa ya Mafuta kushinda Angola na soon wanaanza uzalishaji kuwahi deadline kabla mafuta hayajawadodea na kuwa na bei ya kipuuzi kama makaa ya mawe.

Tanzania iendelee kujivuta vuta tuone nani atapoteza, wawekezaji au Tanzania.
Nyie kina Davis Mosha tushawashtukia, acha tubaki na rasilimali zetu.
 
Tupewe kwanza mrejesho wa ile mikataba ya gesi iliyosainiwa usiku kule Bungeni enzi za JK inamnufaisha nani mpaka muda huu? Watanzania, au Mabeberu?

Ina maana gani kuingia mikataba ya Kimangungo miaka nenda kwa kisingizio cha kuogopa kuwafukuza wawekezaji wanaojinufaisha wenyewe tu?
 
Tupewe kwanza mrejesho wa ile mikataba ya gesi iliyosainiwa usiku kule Bungeni enzi za JK inamnufaisha nani mpaka muda huu? Watanzania, au Mabeberu?

Ina maana gani kuingia mikataba ya Kimangungo miaka nenda kwa kisingizio cha kuogopa kuwafukuza wawekezaji wanaojinufaisha wenyewe tu?
Wadanganyika Huwa mnahusudi sana uzushi.
 
Inaelezwa kuwa Mradi mkubwa wa kuvuna gesi asilia wa Lindi LNG huenda ukaota mbawa na kuyeyuka kufuatia mkwamo Mpya uliosababishwa na milolongo ya majadiliano isiyoisha ambapo timu Mpya ya Majadiliano ya Serikali imeibua madai ya Kupitia upya Baadhi ya Vipengele.

Mradi huo ambao ulikuwa umekwaman Kwa awamu 2 zilizotangulia,ulipigiwa chapua na Rais Samia ambae alifufua majadiliano na kuwarudisha wawekezaji ambao walishautupilia mbali.

Licha ya juhudi hizo za Rais Samia Bado amekwaa kisiki hivyo Kuna dalili chache sana kufaulu Kwa mradi huo ambao ungemimina matrilioni Kwa mabilioni ya Dola Nchi ukikadiriwa kuwa na thamani ya zaidi ya Trilioni 105($42bln).

Mapema Mwaka huu wawekezaji wakiongizwa na Kampuni ya Kimarekani walionya kwamba huenda wakajitoa kutokana na milolongo isiyoisha.

View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1792499817639297241?t=q9ggbidfYQ_fpT-HclhssQ&s=19

My Take
-Magadi soda umekwama
-Liganga&Mchuchuma umekwama
-Bagamoyo Port imekwama
-Na Lindi LNG inaenda kukwama.

Itikadi za Kijamaa zinalitafuna Tiafa.Huwezi pata 50/50 hujaweka mtaji, teknolojia,utafiti Wala huna soko.

Kifuatacho ni kudodewa maana Dunia inahama Kwa Kasi kutoka kwenye Nishati chafu za Mafuta na gesi inaelekea Kwenye Nishati safi hususani Umeme na Hydrogen.

Mozambique ambao viwanda vya LNG vinaendelea na ujenzi Wana gesi nyingi kuliko Tanzania lakini mbona hatusikii milolongo isiyoisha?

Pole sana Rais wangu Samia ,hii ndio Tanganyika na Hawa ndio wajamaa(wanyonge) wanataka kuvuna ambapo hawakupanda 😁😁😁😁.

View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1792525316306448805?t=DsgaiFSV1Acj_SLJA2GwUw&s=19

Pia Soma Marekani yaitahadharisha Tanzania juu ya Uchelewashwaji mradi wa LNG, Wawekezaji mbioni kujitoa

Aangalia asiye akaiuza nchi kwani trilion 100 (100T) ni parefu kinyama.
 
Kichwa kichwa ndio kiaje? Hao majirani waliofanikiwa wao nao ni kichwa kichwa au? What is so special hapa Tanzania?
Hakuna chochote special, ila background yetu na mikataba ya muda mrefu ya kimataifa iliyopita inaleta mashaka hasa kwa watendaji wetu.

Sasa ukiletewa kitu cha hovyo hovyo huwezi kupitisha tuu, kisa jirani kapitisha mikataba wanaandaa mabepari halafu wanataka wakija usisome sana, itoshe kusema kuna maslahi ya nchi hayatazingatiwa kwa asilimia 100, basi acha tujadiliane mpaka tupate muafaka

Hiyo kutishia kujiondoa ni ili watupushi ku saini utumbo.
 
Wadanganyika Huwa mnahusudi sana uzushi.
Comrade, ungenipa mrejesho kwanza badala ya kutuhukumu Watanganyika, huku ukifahamu fika viongozi wengi kwenye hii nchi hawana hata chembe ya uzalendo kwenye maslahi ya Taifa.

Ni Mwalimu Nyerere pekee ndiyo anastahili kuitwa Mzalendo kwenye kipengele cha kulinda raslimali za Taifa.
 
Hakuna chochote special, ila background yetu na mikataba ya muda mrefu ya kimataifa iliyopita inaleta mashaka hasa kwa watendaji wetu.

Sasa ukiletewa kitu cha hovyo hovyo huwezi kupitisha tuu, kisa jirani kapitisha mikataba wanaandaa mabepari halafu wanataka wakija usisome sana, itoshe kusema kuna maslahi ya nchi hayatazingatiwa kwa asilimia 100, basi acha tujadiliane mpaka tupate muafaka

Hiyo kutishia kujiondoa ni ili watupushi ku saini utumbo.
Mfano mkataba gani? Na Je masharti wanapotaka wawekezaji ni hayo hayo?

Ukisoma article hapo eti kinachoxozaniwa ni wapi usukuhishi ufanyike na pesa zipigie Benki za ndani au Nje.

Kwa nini tusioubaliane wapitishie Benki zao za Nje na msuhuhishi awe Mahakama za Kimataifa ikizingatiwa Ni mradi wa pesa ndefu na pia siasa zetu haziamoniki yaani Mwekezaji anaweza zuiwa hela zake kama makinikia au Beureu de change nk,nani atakubalo Hali hiyo? Wewe unaweza toa pesa zako kwenye mazingira kama hayo?

Pili Rostam mwenyewe aliwahi sema Wawekezaji hawawezi kubali Usukuhishi mahakama za ndani Kwa sababu jaji anaweza pigiwa simu akafanya uamzi wa kupendelea,Kwa mazingira hayo nani akubali?

Huu ni Urasimu usio na msingi na usikute timu hii Mpya inataka Rushwa maana wabongo hawaaminiki.
 
Back
Top Bottom