Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

My Take Naunga mkono Mtaka Kwa kuwashangaa hao wavivu na walaghai na ndio wanaolalamikiwa Kwa kutoa Huduma mbovu huko maofisini...
3 Reactions
55 Replies
686 Views
  • Suggestion
Teknolojia nini? Teknolojia ni hatua ya mabadiliko kutoka katika matumizi magumu ya kazi kuja katika njia rahisi ya utendaji kazi kwa urahisi na haraka. Au Teknolojia ni sayansi ya hali ya juu...
0 Reactions
1 Replies
19 Views
Jaman mimi ni muajiriwa nafasi fulani ya juu kidogo hapa nchini. Nimeweza kupata mil 70 ambayo ni matokeo ya SAVING ya muda mrefu na hela zangu fulani nilikuwa nazidai kulipwa. Mpango nilionao ni...
4 Reactions
61 Replies
608 Views
Kwa jinsi nilivyotonywa na paparazzi maalumu ambaye yu ndani ya chadema na ni mwanachama wao kinda kinda ki, wapo wanaopewa kipaumbele cha kifedha ili kujenga mahekalu yao na familia zao, kibaya...
3 Reactions
16 Replies
157 Views
Kwenye maisha kuna muda wanaume tunapendwa na wanawake tusio wapenda kwa mfano kwangu mimi niliwaigi kupendwa na mwanamke nisiye mpenda kiasi kwamba hadi aliniomba namba za simu ili tuwe...
13 Reactions
168 Replies
3K Views
Huyu mwalimu amepatikana na hatia huko Uingereza kwa kutembea na wanafunzi wake! A "predator" teacher has been found guilty of having sex with two schoolboys. Rebecca Joynes, 30, was found...
4 Reactions
21 Replies
755 Views
Jina la kwanza kuwekwa hadharani ni la huyu Dickson Matata, ambaye ameteuliwa kuwania uenyekiti kanda ya Magharibi. Dickson Lucas Matata Ameteuliwa na Kmati Kuu ya Chama kugombea nafasi ya...
0 Reactions
6 Replies
33 Views
Balozi wa USA Tanzania bwana Battle amemimina sifa kemkem Kwa Rais Samia Kwa jinsi ameimarisha Demokrasia na uhuru wa kujieleza Aliyoleta mifano jinsi Vyama vya Upinzani hasa Chadema vilivyo huru...
0 Reactions
9 Replies
62 Views
Yanga inaweza kuwa na msimu mbaya kuliko mingine yote katika historia yake tangu kuanzishwa kwakwe.. Nimetumia neno INAWEZA kwakuwa bado ina nafasi ya kufanya jambo Rangi, maumbo na michoro...
40 Reactions
418 Replies
22K Views
Karibuni kwenye mada. Nawiwa kuilinganisha na kushindanisha mji wa Kahama na Njombe au Mafinga. Je, ni mji gani mzuri na una future kubwa kifursa kuliko mwenzie in terms of maendeleo na ukuaji...
33 Reactions
19K Replies
738K Views

FORUM STATS

Threads
1,854,844
Posts
49,642,528
Back
Top Bottom