Balozi wa Marekani Tanzania Bwana Battle Amemwaga Sifa Kwa Rais Samia Kwa Kuimarisha Demokrasia na Uhuru.Wafuasi wa Chadema Wamcharukia.

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
45,536
52,576
Balozi wa USA Tanzania bwana Battle amemimina sifa kemkem Kwa Rais Samia Kwa jinsi ameimarisha Demokrasia na uhuru wa kujieleza Aliyoleta mifano jinsi Vyama vya Upinzani hasa Chadema vilivyo huru kufanya mikutano ya Kisiasa na maandamano bila bugudha Kwa Polisi alisema haikuwa hivyo miaka michache iliyopita.

Balozi Battle alikuwa akizunhumza kwenye majadiliano ya Kituo Cha Demokrasia Tanzania na kusema anaunga mkono juhudi za serikali ikiwemo Mabadiliko ya sheria za Uchaguzi.

Hata hivyo katika Hali ya kushangaza na licha ya ukweli huo , wafuasi wa Chadema hasa Mtandaoni wamemchafukia wakimshutumu kwamba eti hakuna kilichofanyika na hivyo anakosea kusema Tanzania Kuna Demokrasia.

View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1791350151363076410?t=ohNV6iSjSNl5T4hNPhmxJg&s=19

My Take
Chadema ni kama Taasisi isiyojielewa.Chadema mnatakiwa kujua kwamba Msimamo wa sera za Nje za Marekani ulishabadilika na Sasa uko partial ,hauingilii Demokrasia za Afrika Moja kwa Moja kama miaka ya nyuma.

So kama hamuwezi kukubali Demokrasia iliyoletwa na Samia mnaweza kupigwa Pini mazima kama.awamu ya 5 na Bado Tanzania na CCM vitaendelea kuwepo na Marekani hatokuwa na Cha kuwasiadia achilia mbali wafadhili wenu wa huko Ubelgiji.

Shika hayo maneno,Ikitokea watu wenye msimamo mkali wa kijamaa kama Makonda Wakishika Dola hakuna rangi mtaacha kuona na ccm lazima watafanya hivyo uchaguzi wa 2030,niko palee mtakuja kukumbuka haya maneno na ndipo mtasaga meno Kwa kuomboleza mkimlilia Samia.Pia soma Kwa Kauli hii ya Balozi wa Marekani Kuhusu Demokrasia, CHADEMA Wameumbuka
 
Huyu Bwana ndio ana definition ya Demokrasia ? Nadhani huitaji kuambiwa kama kuna Demokrasia au hakuna mwenyewe unaona..., na zama hizi za machawa hata kukiwa na demokrasia iwapo kwenye udhia rupia inapenyezwa maigizo hayo ya demokrasia yanakuwa ni ya gharama zaidi...
 
Huyu Bwana ndio ana definition ya Demokrasia ? Nadhani huitaji kuambiwa kama kuna Demokrasia au hakuna mwenyewe unaona..., na zama hizi za machawa hata kukiwa na demokrasia iwapo kwenye udhia rupia inapenyezwa maigizo hayo ya demokrasia yanakuwa ni ya gharama zaidi...
Kwani wewe unaonaje? Ipo au haipo?
 
Balozi wa USA Tanzania bwana Battle amemimina sifa kemkem Kwa Rais Samia Kwa jinsi ameimarisha Demokrasia na uhuru wa kujieleza Aliyoleta mifano jinsi Vyama vya Upinzani hasa Chadema vilivyo huru kufanya mikutano ya Kisiasa na maandamano bila bugudha Kwa Polisi alisema haikuwa hivyo miaka michache iliyopita.

Balozi Battle alikuwa akizunhumza kwenye majadiliano ya Kituo Cha Demokrasia Tanzania na kusema anaunga mkono juhudi za serikali ikiwemo Mabadiliko ya sheria za Uchaguzi.

Hata hivyo katika Hali ya kushangaza na licha ya ukweli huo , wafuasi wa Chadema hasa Mtandaoni wamemchafukia wakimshutumu kwamba eti hakuna kilichofanyika na hivyo anakosea kusema Tanzania Kuna Demokrasia.

View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1791350151363076410?t=ohNV6iSjSNl5T4hNPhmxJg&s=19

My Take
Chadema ni kama Taasisi isiyojielewa.Chadema mnatakiwa kujua kwamba Msimamo wa sera za Nje za Marekani ulishabadilika na Sasa uko partial ,hauingilii Demokrasia za Afrika Moja kwa Moja kama miaka ya nyuma.

So kama hamuwezi kukubali Demokrasia iliyoletwa na Samia mnaweza kupigwa Pini mazima kama.awamu ya 5 na Bado Tanzania na CCM vitaendelea kuwepo na Marekani hatokuwa na Cha kuwasiadia achilia mbali wafadhili wenu wa huko Ubelgiji.

Shika hayo maneno,Ikitokea watu wenye msimamo mkali wa kijamaa kama Makonda Wakishika Dola hakuna rangi mtaacha kuona na ccm lazima watafanya hivyo uchaguzi wa 2030,niko palee mtakuja kukumbuka haya maneno na ndipo mtasaga meno Kwa kuomboleza mkimlilia Samia.Pia soma Kwa Kauli hii ya Balozi wa Marekani Kuhusu Demokrasia, CHADEMA Wameumbuka

Kwani ajashikwa Tako? Maana wazungu kawaida yao kumwaga sifa lakini ukija kwenu unakutana na mabango ya hisani ya watu wa Marekani!๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜œ.
 
Lissu akishavaa kofia yake ya kaboka mchizi, akavaa saspenda,.akaweka mkono kiunoni, na mmoja akakutanisha vidole, anasutana na kutukana kama nini, hicho ni chama cha vita
 
Kwani wewe unaonaje? Ipo au haipo?
Kwangu mimi demokrasia inafuata mazingira husika huwezi kuniambia sehemu fulani kuna demokrasia wakati kuna uwezekano wa wana-siasa kuwa kwenye co-hoot alafu kuna wadau huku wanazibwa midomo au wengine kufukuzwa kazi (refer mfanyakazi wa Railways alivyopata shida kwenye ajira baada ya kuongelea Tozo)...; Au vyombo ambavyo ya habari ambayo ungetegemea vifichue maovu kwa kumwelimisha mwananchi unaona vimegeuka propaganda machines....

Ndio maana niliwahi kusema....

 
Kwangu mimi demokrasia inafuata mazingira husika huwezi kuniambia sehemu fulani kuna demokrasia wakati kuna uwezekano wa wana-siasa kuwa kwenye co-hoot alafu kuna wadau huku wanazibwa midomo au wengine kufukuzwa kazi (refer mfanyakazi wa Railways alivyopata shida kwenye ajira baada ya kuongelea Tozo)...; Au vyombo ambavyo ya habari ambayo ungetegemea vifichue maovu kwa kumwelimisha mwananchi unaona vimegeuka propaganda machines....

Ndio maana niliwahi kusema....

Ndio inafuata Sasa mazingira ya Tanzania,Sasa nyie Chadema mapovu ya nini Kwa Balozi?
 
Balozi wa USA Tanzania bwana Battle amemimina sifa kemkem Kwa Rais Samia Kwa jinsi ameimarisha Demokrasia na uhuru wa kujieleza Aliyoleta mifano jinsi Vyama vya Upinzani hasa Chadema vilivyo huru kufanya mikutano ya Kisiasa na maandamano bila bugudha Kwa Polisi alisema haikuwa hivyo miaka michache iliyopita.

Balozi Battle alikuwa akizunhumza kwenye majadiliano ya Kituo Cha Demokrasia Tanzania na kusema anaunga mkono juhudi za serikali ikiwemo Mabadiliko ya sheria za Uchaguzi.

Hata hivyo katika Hali ya kushangaza na licha ya ukweli huo , wafuasi wa Chadema hasa Mtandaoni wamemchafukia wakimshutumu kwamba eti hakuna kilichofanyika na hivyo anakosea kusema Tanzania Kuna Demokrasia.

View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1791350151363076410?t=ohNV6iSjSNl5T4hNPhmxJg&s=19

My Take
Chadema ni kama Taasisi isiyojielewa.Chadema mnatakiwa kujua kwamba Msimamo wa sera za Nje za Marekani ulishabadilika na Sasa uko partial ,hauingilii Demokrasia za Afrika Moja kwa Moja kama miaka ya nyuma.

So kama hamuwezi kukubali Demokrasia iliyoletwa na Samia mnaweza kupigwa Pini mazima kama.awamu ya 5 na Bado Tanzania na CCM vitaendelea kuwepo na Marekani hatokuwa na Cha kuwasiadia achilia mbali wafadhili wenu wa huko Ubelgiji.

Shika hayo maneno,Ikitokea watu wenye msimamo mkali wa kijamaa kama Makonda Wakishika Dola hakuna rangi mtaacha kuona na ccm lazima watafanya hivyo uchaguzi wa 2030,niko palee mtakuja kukumbuka haya maneno na ndipo mtasaga meno Kwa kuomboleza mkimlilia Samia.Pia soma Kwa Kauli hii ya Balozi wa Marekani Kuhusu Demokrasia, CHADEMA Wameumbuka

Nani kakuambia mabadiliko ya kweli hapa nchini yataletwa na Marekani? Sisi ndio tunaujua ukweli wa kinachoendelea, huyo balozi hapo ndio mwisho wake wa kidiplomasia. Tunataka huyo mnayeamini anaweza kutufanyia ukatili, maana huyo ndio atatufikisha katika hatua ya machafuko, au mapinduzi ya kijeshi, hatimaye mabadiliko ya kweli.
 
Balozi wa USA Tanzania bwana Battle amemimina sifa kemkem Kwa Rais Samia Kwa jinsi ameimarisha Demokrasia na uhuru wa kujieleza Aliyoleta mifano jinsi Vyama vya Upinzani hasa Chadema vilivyo huru kufanya mikutano ya Kisiasa na maandamano bila bugudha Kwa Polisi alisema haikuwa hivyo miaka michache iliyopita.

Balozi Battle alikuwa akizunhumza kwenye majadiliano ya Kituo Cha Demokrasia Tanzania na kusema anaunga mkono juhudi za serikali ikiwemo Mabadiliko ya sheria za Uchaguzi.

Hata hivyo katika Hali ya kushangaza na licha ya ukweli huo , wafuasi wa Chadema hasa Mtandaoni wamemchafukia wakimshutumu kwamba eti hakuna kilichofanyika na hivyo anakosea kusema Tanzania Kuna Demokrasia.

View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1791350151363076410?t=ohNV6iSjSNl5T4hNPhmxJg&s=19

My Take
Chadema ni kama Taasisi isiyojielewa.Chadema mnatakiwa kujua kwamba Msimamo wa sera za Nje za Marekani ulishabadilika na Sasa uko partial ,hauingilii Demokrasia za Afrika Moja kwa Moja kama miaka ya nyuma.

So kama hamuwezi kukubali Demokrasia iliyoletwa na Samia mnaweza kupigwa Pini mazima kama.awamu ya 5 na Bado Tanzania na CCM vitaendelea kuwepo na Marekani hatokuwa na Cha kuwasiadia achilia mbali wafadhili wenu wa huko Ubelgiji.

Shika hayo maneno,Ikitokea watu wenye msimamo mkali wa kijamaa kama Makonda Wakishika Dola hakuna rangi mtaacha kuona na ccm lazima watafanya hivyo uchaguzi wa 2030,niko palee mtakuja kukumbuka haya maneno na ndipo mtasaga meno Kwa kuomboleza mkimlilia Samia.Pia soma Kwa Kauli hii ya Balozi wa Marekani Kuhusu Demokrasia, CHADEMA Wameumbuka

unaelewa CDM wanapata uchungu na kuumia zaidi pale ambapo, mikutano imeruhisiwa ,Rais anasifiwa dunia nzima kwa kuimarisha na kuchochea demokrasia nchini, halafu CDM ukata wa fedha na nyenzo za kuwawezesha kufanya mikutano ya hadhara ndio imewatembelea in full capacity na kutia kambi kabisaa kwenye chama chao. ๐Ÿ’

gentlemen inaudhi, inavunja moyo na inatia uchungu sana ๐Ÿ’
 
Nani kakuambia mabadiliko ya kweli hapa nchini yataletwa na Marekani? Sisi ndio tunaujua ukweli wa kinachoendelea, huyo balozi hapo ndio mwisho wake wa kidiplomasia. Tunataka huyo mnayeamini anaweza kutufanyia ukatili, maana huyo ndio atatufikisha katika hatua ya machafuko, au mapinduzi ya kijeshi, hatimaye mabadiliko ya kweli.
Kabisa watu wanajua mzungu ni muumba.
 
unaelewa CDM wanapata uchungu na kuumia zaidi pale ambapo, mikutano imeruhisiwa ,Rais anasifiwa dunia nzima kwa kuimarisha na kuchochea demokrasia nchini, halafu CDM ukata wa fedha na nyenzo za kuwawezesha kufanya mikutano ya hadhara ndio imewatembelea in full capacity na kutia kambi kabisaa kwenye chama chao. ๐Ÿ’

gentlemen inaudhi, inavunja moyo na inatia uchungu sana ๐Ÿ’
๐Ÿ˜๐Ÿ˜,๐Ÿธ๐Ÿ‘ˆ.
 
Nani kakuambia mabadiliko ya kweli hapa nchini yataletwa na Marekani? Sisi ndio tunaujua ukweli wa kinachoendelea, huyo balozi hapo ndio mwisho wake wa kidiplomasia. Tunataka huyo mnayeamini anaweza kutufanyia ukatili, maana huyo ndio atatufikisha katika hatua ya machafuko, au mapinduzi ya kijeshi, hatimaye mabadiliko ya kweli.
Nyie si ndio mnakoendaga kushtaki? Saizi unawakana? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom