Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wanajamvi Leo nimekuja, mwenzenu yamenifika shingoni Nina miaka mitatu tangu nimeingi kwenye uchimbaji wa madini huku chunya mbeya, Nimamiliki karasha, nimeshapoteza zaidi ya milioni 40 katika...
8 Reactions
141 Replies
1K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
514K Replies
29M Views
Wakuu,...unaanzaje anzaje kutongoza mishangazi maana mishangazi unapoifata inakuwa seriouz sana..halafu ukienda kichwa kichwa unaweza ukakemewa na mshangazi hadi uone siku yako imeenda...
37 Reactions
266 Replies
7K Views
Naona kuna watu wanaleta ubishi usio na msingi kuhusu ukubwa wa producer namba moja Tanzania S2KIZZY aka Zombie. Lakini wote wanaobisha wanasukumwa na chuki hawana sababu ya msingi. Ukweli ni...
6 Reactions
105 Replies
1K Views
Jinsi masuala ya muungano yanavyoshughulikiwa na kwa sasa, ni mtu kipofu wa akili tu ndio hataona kwamba kadiri siku zinavyopita mbegu za uhasama kati ya Tanzania bara na Zanzibar inazidi kuota...
32 Reactions
146 Replies
3K Views
Inashangaza na inasikitisha kuona kijana ana miaka karibia 35 na hajawahi miliki hata gari la million nne, ukweli ni kwamba kwa dunia tuliyopo usafiri binafsi hauepukiki. Sijamaanisha ununue gari...
12 Reactions
115 Replies
1K Views
Kiukweli takukuru navyoiona NI chombo kinachombo ambacho hakina Meno kwa wabadhilifu wa nchi hii NI kama kinaelekelezwa na viongozi wa ccm nini kifanyike na kipi kiachwe nachoshangaa kauli ya...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Shunie Extrovert Jimena FRANC THE GREAT The 13 Mnazareth Daudi Mchambuzi Dinazarde Carleen Wangari Maathai Mshana Jr
25 Reactions
6K Replies
123K Views
Nimejaribu kuwaza ikiwa jamii forums itapata mshindani kutokea ndani ya Tanzania itaendelea kusimama kama ilivyo Maana kwa Taarifa nilizonazo na za uhakika ni kwamba Kuna mwamba mmoja anabuni...
1 Reactions
7 Replies
8 Views
Habari JF , TL na JPM personality zao zinafanana sana ukiachana tofauti zilizopo za kisiasa na ni wazalendo kweli kweli Hivyo Kiuhalisia hakuna zuri ambalo JPM alifanya Tundu lissu asingefanya...
4 Reactions
34 Replies
394 Views

FORUM STATS

Threads
1,852,570
Posts
49,576,514
Back
Top Bottom