Nimechoka kusindikiza wenzangu kwenye madini

Naibili

JF-Expert Member
Jan 24, 2011
1,820
836
Wanajamvi,

Leo nimekuja, mwenzenu yamenifika shingoni

Nina miaka mitatu tangu nimeingi kwenye uchimbaji wa madini huku Chunya, Mbeya.

Nimamiliki karasha, nimeshapoteza zaidi ya milioni 40 katika shughuli hii.

Huwa nnajitahidi kupima miamba kila hatua kama inavyoshauriwa lkn matokeo mara zote huwa kinyume na matarajio.

Mfano unaweza kupima mwamba ukaambiwa ni wastani wa ppm 8 lkn unachokuja kukipata ni wastani wa ppm 1

Wadau wengi hawataki kutoa siri ya wapi wanapitia ili kuhakikisha kile wanachotakiwa kukipata wanakipata.

Tafadhali sana, mwenye kujua namna nnaweza kupata msaada wa kweli tafadhali msaada hapo PM
 
Hapana mkuu, nikiwa nimejilaza chini ya mti, pembeni ya mto

Wanajamvi

Leo nimekuja, mwenzenu yamenifika shingoni

Nina miaka mitatu tangu nimeingi kwenye uchimbaji wa madini huku chunya mbeya,

Nimamiliki karasha, nimeshapoteza zaidi ya milioni 40 katika shughuli hii.

Huwa nnajitahidi kupima miamba kila hatua kama inavyoshauriwa lkn matokeo mara zote huwa kinyume na matarajio,

Mfano unaweza kupima mwamba ukaambiwa ni wastani wa ppm 8 lkn unachokuja kukipata ni wastani wa ppm 1

Wadau wengi hawataki kutoa siri ya wapi wanapitia ili kuhakikisha kile wanachotakiwa kukipata wanakipata,

Tafadhali sana, mwenye kujua namna nnaweza kupata msaada wa kweli tafadhali msaada hapo PM
Unatumia njia gani kupima natural au artificial ??je unatumia wataalamu
Binafsi nakushauri mkuu jitahidi kufanya kazi na wataalamu na kuna kamashine kanauzwa milioni 10 nako hutumika kudetect madini aina mbali mbali.Tembea depertment za UDSM na UDOM utawapa wataalamu wa kutosha au nenda GST.

Chunya kuna reserve kubwa sana ya dhahabu so jitahid ufanye kisasa boss


Binafsi nasomea mineral exploration and mining geology.Namaliza mwakani
 
Unatumia njia gani kupima natural au artificial ??je unatumia wataalamu
Binafsi nakushauri mkuu jitahidi kufanya kazi na wataalamu na kuna kamashine kanauzwa milioni 10 nako hutumika kudetect madini aina mbali mbali.Tembea depertment za UDSM na UDOM utawapa wataalamu wa kutosha au nenda GST.

Chunya kuna reserve kubwa sana ya dhahabu so jitahid ufanye kisasa boss


Binafsi nasomea mineral exploration and mining geology.Namaliza mwakani
Tunafanya kisasa mkuu, tunatumia maabara bora kabisa, hata sample inachukuliwa kitaalam kabisa
 
Unatumia njia gani kupima natural au artificial ??je unatumia wataalamu
Binafsi nakushauri mkuu jitahidi kufanya kazi na wataalamu na kuna kamashine kanauzwa milioni 10 nako hutumika kudetect madini aina mbali mbali.Tembea depertment za UDSM na UDOM utawapa wataalamu wa kutosha au nenda GST.

Chunya kuna reserve kubwa sana ya dhahabu so jitahid ufanye kisasa boss


Binafsi nasomea mineral exploration and mining geology.Namaliza mwakani
Wewe uko theoritical sana hayo mambo hayaendi kisomi kama unavo fikilia njoo migodini ujionee watu wanagundua madini bila hizo theory zenu.
 
Wanajamvi

Leo nimekuja, mwenzenu yamenifika shingoni

Nina miaka mitatu tangu nimeingi kwenye uchimbaji wa madini huku chunya mbeya,

Nimamiliki karasha, nimeshapoteza zaidi ya milioni 40 katika shughuli hii.

Huwa nnajitahidi kupima miamba kila hatua kama inavyoshauriwa lkn matokeo mara zote huwa kinyume na matarajio,

Mfano unaweza kupima mwamba ukaambiwa ni wastani wa ppm 8 lkn unachokuja kukipata ni wastani wa ppm 1

Wadau wengi hawataki kutoa siri ya wapi wanapitia ili kuhakikisha kile wanachotakiwa kukipata wanakipata,

Tafadhali sana, mwenye kujua namna nnaweza kupata msaada wa kweli tafadhali msaada hapo PM
Haya mambo haya. Hata sisi 2019 tulikuwa huko tukashindwa tukahamia shinyanga tukapiga mwanzo baadaye hola! Nikajitoa mwenzangu akabaki. Amekula hasara naye katoka mwaka jana. Lakini wengine wako poa kabisa wana make. Mimi hapo kwenye ppm ndipo nashangaa inasoma hivi matokeo baadaye ni tofauti. Sitaki kusikia kabisa hizi habari.
 
Unatumia njia gani kupima natural au artificial ??je unatumia wataalamu
Binafsi nakushauri mkuu jitahidi kufanya kazi na wataalamu na kuna kamashine kanauzwa milioni 10 nako hutumika kudetect madini aina mbali mbali.Tembea depertment za UDSM na UDOM utawapa wataalamu wa kutosha au nenda GST.

Chunya kuna reserve kubwa sana ya dhahabu so jitahid ufanye kisasa boss


Binafsi nasomea mineral exploration and mining geology.Namaliza mwakani
Kipimo gani ofsa?

Unazungumzia kitu kama hiki?

1715257388134.png


Hicho kipimo cha milion 10 ni level za GMT (pichani) ambacho sio mchongo kabisa na siku hizi hakifai hata kwa survey.

Uchimbaji wa madini wa mdau ni wa karasha wa kudili na mawe maana yake hayo mavipimo kwa shughuli yake ni useless

1715257506304.png



1715257537447.png
 
Haya mambo haya. Hata sisi 2019 tulikuwa huko tukashindwa tukahamia shinyanga tukapiga mwanzo baadaye hola! Nikajitoa mwenzangu akabaki. Amekula hasara naye katoka mwaka jana. Lakini wengine wako poa kabisa wana make. Mimi hapo kwenye ppm ndipo nashangaa inasoma hivi matokeo baadaye ni tofauti. Sitaki kusikia kabisa hizi habari.
Nimekataa kuwa na plan b mkuu, acha nikomae, lkn wengine anapima hata ikipishana ni kidogo sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom