Kama unajua umuhimu wa finishing hata kwenye ujenzi utaacha hii tabia ya kuomba namba bila kuwa na sababu za msingi,
Binafsi hii tabia inanikata. Unakuta mkaka ushampia hesabu zako halafu anapotea na namba yako.😇
Mtu mpaka anakuwa single maza kuna sababu kadha wa kadha ikiwemo kutalikiana na kifo cha baba watoto nakadhalika, sasa huku Tz naona imebase kwa walioachwa au kuachana.
Tatizo wadada mnaosema hawajazaa wakiwapiga matukio mnakausha hamji kuwasanua wenzenu huku. Mnaishia kujiua...
Mbona uzi umekaa kimitego sana😃
Hali njema Mkuu.
Sema ni hivi, unajua kibinadamu huwezi kosa dosari ukawa fiti fitings, kwahiyo kama unapumua sema alhamdulillah.
Ukisema sina ela kuna mwingine anayo ila anaugulia kidole.
Ukisema unaumwa kucha mambo yote safi, kuna mwingine haumwi ata mkono...
Mwanamke bila uvumilivu hujawa mwanamke, kwa maana mitihani hiyo ipo mpka kwenye ndoa, fikiria umeolewa halafu unaletewa kitoto cha nje ulee.
Mungu akupe uvumilivu wa kike uweze kustahimili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.