Recent content by Wise_lady

  1. W

    Mapenzi na Mikasa yake

    Wakaka njoeni hapa usishushe nguvu ya mwanamke kwenye kulipiza kisasi Cha mapenzi huwezi kujua atafanya nini. Kuna mkaka mmoja alikuwa ameoa shida alikuwa anasaliti sana kwenye ndoa yake akitegemea mwanamke atamsamehe na kumpuuzia kumbe mke wake alikuwa hajasamehe usaliti aliofangiwa na mume...
  2. W

    Mkasa gani wa ajabu umewahi kukutana nao kwenye mapenzi?

    Hii ilishawahi kukutokea? Na ulichukua hatuna gani? Wadada Kwa wakaka itaneni hapa.. . Ulishawahi kuwa kwenye mapenzi yenye Mikasa ya ajabu mara fumanizi na vitimbili vya Kila namna? Hatari! Kuna rafiki yangu alipitia magumu kwenye mahusiano yake usaliti, vipigo, masimango na vitu kibao. Siku...
  3. W

    SoC04 Tunatakiwa kutatua matatizo au changamoto zilizokuwa tishio kwa maendeleo ya Tanzania na kuleta mikakati thabiti

    Watanzania wengi tumekuwa na ndoto na malengo ya kutaka Tanzania yetu kuwa yenye maendeleo na vile tuitakayo, baada ya uhuru wa Tanzania mikakati mingi iliwekwa Ili kuletea maendeleo Kwa watanzania. Baba wa taifa mwalimu Julius K. Nyerere aliweka mikakati thabiti Ili kukuza maendeleo Kwa watu...
Back
Top Bottom