[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
We jamaa umenichekesha Sana we utakua mkurya si Kwa ubabe huo...
Anyway sijui kama umeupata ila huo wimbo ni Appy tz... Unaitwa Watu Feki ..
"Siku mbili zimepita sijakula... Nina stress ..."
Mi nshampigia boss usiku huu kua naumwa Niko Hoi bin taabani [emoji16] bahati nzuri kazini mi sio mtu wa kuongelea mambo ya Mpira hivo nimeeleweka kirahisi kabisa...
Leo ni siku kubwa Sana kwetu wananchi [emoji2]
Mtibwa 0 Yanga 3 [emoji169][emoji172]
Dah kweli tumetofautiana mtu alifanyaga niache kusikiliza XXL NI huyo Kennedy yaani jamaa simkubali kabisa kipindi kinakua na utoto na vitu vya hovyo....
To be honest B dozen ndo mtu hatari Sana kwenye Ile show ....
Natamani ungeisikiliza XXL ya Dozen, Mchonvu na DJ fety
Dube ana skills kuliko Musonda hii iko wazi...
Dube anaweza kufunga Goli kwenye angle ngumu rejea Goli alilowafunga Simba last season ni Outer moja matata Sana sijui Kwann alikua Goli Bora la msimu labda Kwa sababu wanaogawa tuzo n walevi.!
Kazi ya forward ni kufunga sio kukimbia kimbia hovyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.