Recent content by Twinawe

  1. Twinawe

    Kuelekea 2025 CHADEMA msiweke Wagombea kwenye haya Majimbo na CCM pia haya Msiweke ili kujenga Bunge lenye nguvu baada ya 2025

    Sa mbona tukia na mbilinyii wako jimbo moja hata we mwenyewe umeshindwa kuwachagua wagombea
  2. Twinawe

    Kuna Ukweli gani juu ya mafuta na maji ya upako?

    Lakini watu walojaa kule si wana akili timamu?
  3. Twinawe

    Naomba ushauri wa mbegu gani bora kilimo cha Nyanya.

    Wakuu niko babati nahitaji kuanzisha shamba langu la nyanya . Naomba kujua mbegu gani bora kwa kilimo cha biashara. Pia vitu gani vya msingi natakiwa kuvizingatia.
  4. Twinawe

    Niliyoyaona leo nilipokwenda kusambaza barua za internship

    Nakumbuka mara yangu ya kwanza napeleka barua ya kujitolea ilikua ofisi za TRA pale Stesheni asee nilikutana na bro mmoja alinivunja sana moyo kwa dharau na kejeli alizonifanyia pasipo kujua uhalisia wa situation nayopitia . Lakini katika izo kejeli zake alinifundisha kitu kujipa thamani na...
  5. Twinawe

    Nani mmiliki wa Vituo vya Mafuta vya “Victoria”?

    Ahsante sana kwa jibu lako mkuu Ni mwenyeji wa mkoa gani
  6. Twinawe

    Nani mmiliki wa Vituo vya Mafuta vya “Victoria”?

    Tajiri wa hizi sheli kafanikiwa kumaintain discipline na uaminifu kwa wafanyakazi wake. Napendezwa sana na utamaduni wao karibia kwa sheli zote. Naonaga zinapigwa nyimbo za dini, au ni sheli ya kanisa fulani au mchungaji? Kiukweli huduma zao ni bora bila kusahau wahudumu wa kiiraq.
  7. Twinawe

    Niliyoyaona leo nilipokwenda kusambaza barua za internship

    Bado ni chache sana mkuu watu tuliomba intern tukakosa tukaomba kazi za migahawa na hotel ambako unajua uhakika unapata nako tulikosa ila tamaa hatukuwahi kukata japo tulikubali maisha ya kushindia miogo hadi tukachakaa ila tulisimama tena na sasa tuko vizuri
  8. Twinawe

    Watu wanadhani umri wangu ni mkubwa tofauti na umri wangu halisi, je sababu yaweza kuwa nini?

    Hii hali hata mimi inanipata nahisi sababu ya hivi vipesa nilivyonavyo na mvi hata 30 sijafikisha
  9. Twinawe

    Mfanyabiashara Alex Msama akamatwa kwa tuhuma za Utapeli wa Viwanja vya Tsh. Milioni 800

    Sitamkubali nakumbuka mwaka 2019 kipindi nahustle alitangaza nafasi za uhudumu kwenye migahawa yake sehemu ya usaili ilikua leaders club dah asee ule usaili walihudhuria sio chini ya watu 3000 alichoniboa alikua anaturecord na makamera yake kipindi kile nadhani ndo anamiliki dira tv ,anatulecord...
Back
Top Bottom