Well!
Umejitahidi kuongea vema japo Kuna vitu umesahau (aidha kwa kutojua au umeamua tu kuvipuuza ili uwasilishe mawazo yako).
Binti anapoamua kumkubali mwanaume katika hali ngumu ya kiuchumi aliyonayo m/ume husika, sioni kosa hapo na Wala si mtego ..
Ikumbukwe kuwa, Katika mapenzi halisi...
Ukimfumania Mkeo fanya hivi:
Kwanza usimgombeze, na fanya kama hakuna kilichotokea. Pindi umkutapo wakiwa 'wanafanya yao' waombe radhi kwa kuwaingilia shughulini.
Ondoka uwape nafasi wamalize, then baadae sana rudi nyumbani ukiwa umembebea Mkeo zawadi nzuri.
Hakikisha jambo la fumanizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.