Ndiyo shida ya kupangiwa cha kuongea.
Unakuwa si wewe tena unavikwa huusika wa mtu mwingine.
Na ndiyo maana sifa zake zile uzijuazo haujamwona nazo leo.
Regards
Sister
Asa unataka abiria mwenye mizigo akapande gari gari??? Mfano huyo mama anayetoka feri na samaki wake apande nini?? Ukizingatia posta hakuna gari la kimara wala ubungo wala la mbezi. Unataka atembee kwa miguu kisa kabeba mzigo????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.