Recent content by Satoh Hirosh

  1. Satoh Hirosh

    Nitakua mtu wa mwisho kukubaliana na wote wanaosema uwanja wa New Amani stadium ni uwanja bora

    Hakuna shida katika hizo billboards,mkuu. Kama Umeenda chamazi utaona zipo karibu zaidi ya huo uwanja wa Amaan na wachezaji hawaumii. Hiyo ya Soppu kujigonga ni ajali tu ambazo Huwa zinatokea viwanja vingi pindi mchezaji akifanya tackling.
  2. Satoh Hirosh

    Nitakua mtu wa mwisho kukubaliana na wote wanaosema uwanja wa New Amani stadium ni uwanja bora

    Nyasi zimesha-expire. Mtu akipiga mpira zinatoa vumbi (carbon).
  3. Satoh Hirosh

    DOKEZO Mwalimu anajihusisha na mapenzi ya jinsia moja, anawafundisha wanafunzi pia. Serikali mko wapi?

    Jiwe gizani. Povu linakutoka,umepaniki. Tabia za kufirana siyo nzuri bwanaaa!!
  4. Satoh Hirosh

    Njia ya Kibiti kwenda kwenye laana ya Cabo Delgado

    Mara vyeti feki,mara minyoo ya nguruwe,mara Tundu Lisu. Mbona hauko consistent kwenye mada? Hapa wanaongelewa magaidi wa msumbiji,ila mlikuwa mmeficha matako yenu kwenye mashimo mkisubiri kuanza mashambulizi. Wapi mleta mada ametaja uislamu? Nimekujibu wewe na mwenzio kwa sababu mnajihami sana.
  5. Satoh Hirosh

    Ni Members gani wa JF, kwa mabandiko au koments zao tu, ina ashiria kabisa ni Warembo au Watanashati?

    Kwa warembo wapo wengi tu. Kwa uchache Kuna Karucee ,ana kingereza Fulani hivi utajua tu huyu ni masomo,alafu atakuwa ni mwanasheria. Mdada Fulani hivi anaonekana anapenda kuvaa miwani. Kuna huyu Lenie sijui kimemkuta nini asee!! Simwoni tena jamvini.Labda Depal atuambie. Ni mdada mrembo na...
  6. Satoh Hirosh

    Njia ya Kibiti kwenda kwenye laana ya Cabo Delgado

    Cheki ulivyo mdwanzi. "Rogo ni ishu ya kisiasa" uko sawa kweli? Nani asiyesikiliza mahubiri ya huyo Shehe marehem? Au mnadhani mawaidha yake mnasikiliza peke yenu? Mwaka 2017 nipo nimepanga zangu nyumba Moja na jamaa mmoja muislamu sana (jamaa alikuwa serious na dini vibaya). Siku Moja katika...
  7. Satoh Hirosh

    Njia ya Kibiti kwenda kwenye laana ya Cabo Delgado

    Kwa nini huyo Osama na Shehe Rogo wanapewa heshima kubwa miongoni mwa waislamu? Tena waislamu wengine wanaenda mbali na kuwabandika picha zao hadi kwenye magari hao waislamu wenye misimamo mikali kama Osama na Rogo. Tatizo lenu nyie waislamu ni unafiki uliopitiliza. Mtu (miongoni mwenu)...
  8. Satoh Hirosh

    Njia ya Kibiti kwenda kwenye laana ya Cabo Delgado

    We nae tutolee huu ujinga wako na mapovu Kila comment bwana. Kila siku mnakuja na jambo hilo hilo la uislamu unachafuliwa. Kwa kitu kipi cha maana mlichonacho hadi dini yenu ichafuliwe? Ni swala la kuamini (Imani )tu? Yani mtu akibadili dini na kuwa muislamu,hiyo itaniathiri vipi Mimi nisiye...
  9. Satoh Hirosh

    Ijue Hifadhi ya Taifa ya Mlima Udzungwa

    Huko kwenye hifadhi mkuu.
  10. Satoh Hirosh

    Ijue Hifadhi ya Taifa ya Mlima Udzungwa

    Gharama zipoje mkuu.
  11. Satoh Hirosh

    Umeshawahi kukutana na balaa la nyoka?

    Swila ni kwa kiswahili. Unaweza kumwita cobra au ukamwitamwsila kwa kiswahili.
  12. Satoh Hirosh

    Nahitaji mwanaume wa kuzaa nae

    K Kweli wewe ni Vichekesho Mwenzio yupo serious,wewe unaleta mambo ya vifurushi.
  13. Satoh Hirosh

    Nahitaji mwanaume wa kuzaa nae

    Weka picha mkuu kabla hatujajilipua PM kama wataliban.
  14. Satoh Hirosh

    Wasanii wa kiume wenye macho ya kuvutia Tanzania

    Joanah naomba uniulizie kwa mleta mada kabla sijasema hajamtaja Ray c na Recho. Mleta mada ni mwanaume au mwanamke?
  15. Satoh Hirosh

    Picha za mradi wa LNG msumbiji.

    Kwa hiyo nini mwelekeo wa huu mradi kwa sasa? Yapi matazamio ya serikali ya Samia?
Back
Top Bottom