Kwa hiyo mashabiki wa Yanga ndio walikuwa wanazusha kwamba Pacome kafungiwa na Yanga wapokwe point kwenye mechi alizohusika Pacome?
Nyie Simba sijui mna matatizo gani, badala muangalie timu yenu inafanya vibaya na kupata ufumbuzi wa kiwango kibovu kinachooneshwa na timu yenu, mpo bize...
Nadhani ni utaratibu wa ofisi na ofisi, mfano mimi ninako ishi sijawahi kuombwa fedha yoyote ili nigongewe muhuri wa serikali ya mtaa, nakumbuka miaka ya 2015's wakati naomba mkopo wa HELSB kwa ajili ya chuo niligongewa muhuri bila malipo yoyote, mwaka jana pia nilienda kuchukua barua ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.