Kwa hiyo mashabiki wa Yanga ndio walikuwa wanazusha kwamba Pacome kafungiwa na Yanga wapokwe point kwenye mechi alizohusika Pacome?
Nyie Simba sijui mna matatizo gani, badala muangalie timu yenu inafanya vibaya na kupata ufumbuzi wa kiwango kibovu kinachooneshwa na timu yenu, mpo bize...
Nadhani ni utaratibu wa ofisi na ofisi, mfano mimi ninako ishi sijawahi kuombwa fedha yoyote ili nigongewe muhuri wa serikali ya mtaa, nakumbuka miaka ya 2015's wakati naomba mkopo wa HELSB kwa ajili ya chuo niligongewa muhuri bila malipo yoyote, mwaka jana pia nilienda kuchukua barua ya...
Hawa jamaa kwa mara ya kwanza nilikutana na Chuo nikiwa mwaka wa kwanza,aseeeh ile Semester ya kwanza niliteseka mno kwenye suala la kulala.
Kwenye hostel yetu kila chumba kulikuwa na vitanda viwili kwa hiyo tulikuwa tunakaa wawili, mimi na roommate wangu ilibidi tubadili ratiba ya kulala mana...
Mkuu ushahidi upo wa kutosha kabisa kwenye hiyo kesi,tatizo ni kwamba huo ushahidi uliokuwepo na ambao ulitolewa na muhanga mwenyewe wa hilo tukio haukuendana na kifungu cha sheria ambacho mtuhumiwa alishitakiwa nacho,ushahidi uliotolewa unaangukia kifungu cha 130 (1) (2) (a) lakini kwenye hakti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.