Recent content by Myebusi Mweusi

  1. Myebusi Mweusi

    Lijishangazi au kademu, nimuoe nani?

    NANAOMBA USHAURI Habari yako mwana JF mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 ninafanya kazi ya bodaboda Nilikuwa na mpenzi wangu niliyeishi nae kwa miaka 4 sasa na tuna ahadi ya kuoana Lakini mwaka juzi nilipata abiria MAMA mtu mzima ana miaka kama 45 ni mtu...
  2. Myebusi Mweusi

    Paul Christian Makonda, the terminator, the true leader

    Vingereza vyote hivi ni vya kumsifia zyapunga Paul Makonda?
  3. Myebusi Mweusi

    Viwanja vya starehe na burudani vilivyovuma sana ila leo havipo tena

    Hunters Club imekuwa kanisa la muhuni Gwajima
  4. Myebusi Mweusi

    Licha ya kwamba mimi ni Mkristo, leo sitakula nyama sababu mshahara wa mwezi wa pili bado haujatoka

    Kwa jìnsi nilivyo nadhifu, kwa jinsi nilivyo na haiba njema, watu wanashangaa sana wakiona sijihusishi na mambo mengi ya dunia, licha ya kiwa nayapenda. Mademu wanapapatika juu yangu nami naumia kwa kushindwa kuwamudu. Nikikatiza mtaani huķu Uswahilini kwetu watoto wananìlilia na kuniita baba...
Back
Top Bottom