NI ukweli husiopingika kwamba kila mtu anatamani maendeleo na ukweli huo hauwezi kubadilika.
Shida inayoniumiza kichwa changu Kwa sasa NI Kwa nini waafrika tunapenda short cut, hatupendi kuanzia chini au kutumia NJIA sahihi kupata mafanikio endelevu.
Nafahamu kwamba afrika tunategemea Sana...
Wewe ni mjinga kama wajinga wengine hufai wala hutakiwi kuwa hata kiongozi wa familia yako.
Wewe unajua mzungu ametumia mbinu gani kudhoofisha uchumi wa Zimbabwe, kuna mambo ambayo waafrika tunayakosea sio Kwa kupenda ni Kwa sababu watu wetu wanapenda kupata vitu Kwa NJIA rahisi hao wanaotumia...
Sa
Sasa Kwa staili hiyo huoni kwamba mtu anaweza kupata mchumba wakaenda hospital kupima na kutokana na huyu anayetumia dawa Kwa usahihi kipimo kushindwa kusema atakuwa amejiingiza kwenye hatari ya kuambukizwa Kwa kuwa atamla Kwa kuwa wamepewa majibu ya unditectable.
Nimeona nije nipate michango ya wanajamvi kutokana na kwamba jukwaa hili Lina wasomi na madaktari wengi.
Kwasasa vijana wengi tumeangukia kwenye wimbi la kujipima na Kula tunda kavu, ata huko Kwa Malaya utaratibu ni huo wao wanakuwa na vipimo vyao mnapima kisha mnakulana.
Sasa kuna mtu mmoja...
Wewe unaakili kweli rais ndio amefanya hayo au ni bajeti ilipangwa kutekeleza hayo, unapozungumzia rais kufanya Jambo ni lazima liwe linahusisha taifa Kwa ujumla lenye kubadilisha mipango ya nchii.
Mfano: magufuli alifanya maamuzi ambayo ni ya kitaifa, kujenga bwawa la umeme ambalo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.