Recent content by Ms R

  1. Ms R

    Shoga la kiyahudi na mmewe waasili kichanga

    OMG 🙆🏾
  2. Ms R

    Ni Members gani wa JF, kwa mabandiko au koments zao tu, ina ashiria kabisa ni Warembo au Watanashati?

    ngoja aje aseme mwenyewe,, kumbe humu mkichat sana mnafungishwa ndoa😆😆
  3. Ms R

    Msiwasikilize kataa ndoa, they are wrong, two are better than one...

    so,, when are you going to marry?,na je tusubiri uzi umu au unatafuta mtaani kwenu?
  4. Ms R

    Mwanzo umri ulikuwa unaenda Taratibu (10 hadi 20) ila sasa Umri unakimbia (20 hadi 30)...

    soon navaa iko kiatu cha 30,,, uuuuuuuiiiiiiiiiiii
  5. Ms R

    Wimbo wa bongo flavor ambao ni bora kwako kwa muda wote

    mapenz ya mkataba mpaka kufa yamekwishaaaa,,, nataman kua single,ila ....... huo bwana 😁
  6. Ms R

    Natafuta mke hasa mtu mzima wa kuoa ambae yupo serious

    fanya ivo aseee,,coz naandaa uzi mnene apa wa kutafta mume hum😂😂
  7. Ms R

    Vijana tulio 'Mahandsome' tunapata “favor” maeneo mengi sana

    Hakika ndo namskia kwako😫
  8. Ms R

    Ni Members gani wa JF, kwa mabandiko au koments zao tu, ina ashiria kabisa ni Warembo au Watanashati?

    😂😂😂😂😂 Hakika wewe alokutuma kwangu aseee kakutuma mtu sahihi kabisa 🙌🏾🙌🏾
  9. Ms R

    Ni Members gani wa JF, kwa mabandiko au koments zao tu, ina ashiria kabisa ni Warembo au Watanashati?

    Naomba urud ukatag io mesej nlosema napenda pesa lakin unanini wewe😂😂😂😂😂
  10. Ms R

    Vijana tulio 'Mahandsome' tunapata “favor” maeneo mengi sana

    nyie wenye hela naskia mna magonjwa yenu ya kitajiri😌,,kansa, pressure, kisukari.......
  11. Ms R

    Hata mbwa anamjali anayemjali

    🤝🏾 Senkyuu
  12. Ms R

    Sina kazi nashinda na simu muda wote

    tuko pamoja
Back
Top Bottom