Recent content by MKATA KIU

  1. MKATA KIU

    KERO Huduma ya tiGO Pesa Mastercard kuna changamoto kubwa sana ambayo nimekuwa nikitoa taarifa kwa huduma kwa wateja hawashughulikii

    Mpesa ndio baba lao la malipo ya mtandaoni. Vodacom wanajua sana kuliko hao kina tigo
  2. MKATA KIU

    Waziri wa Ardhi, Jerry Silaa apiga marufuku uuzaji wa viwanja mitaani

    Viwanja vina balaa sana Kiwanja ndio sehemu pekee ambayo hata mawaziri huwa wanatapeliwa. Ma brigedia wa jeshi huwa wanatapeliwa pia kwenye mauziano ya kiwanja. Kiwanja hakina mjanja hata majaji wenyewe huwa wanapigwa kwenye kiwanja. Mke wa Nyerere mwenyewe alitaka kutapeliwa kiwanja cha...
  3. MKATA KIU

    Jini Mrefu kavaa kanzu kaonekana Bondeni, Popo Bawa kaonekana mbagala, stori hizi zimefia wapi ?

    Habari wadau. Kwa wale wajomba na mashangazi above 30s nazani wanazijua sana hizi stori. Dar kulikuwa na vitisho vingi mitaani kwamba jini mrefu kavaa kanzu kaonekana bondeni. Watu wanabadilisha njia. Shule kwenye shule za msingi kulikuwa na vitisho vya mbuzi kaonekana chooni anakuna nazi...
  4. MKATA KIU

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Mbande

    Muuza kiwanja ongeza nyama. Kiwanja kipo mbande eneo gani na mtaa gani ? Mbande ni kubwa sana
  5. MKATA KIU

    Askofu Mwingira avunja nyumba za wananchi Handeni. Mkuu wa wilaya aamuru Askofu akamatwe

    Watumishi wa Mungu wanagombania pesa na mali, mchungaji anagombania ardhi ya wananchi. Mwingira wa Efatha anatia aibu watumishi. Hapo unakuta kuna wamama wanaamini Mwingira ndio mlezi wao wa kiroho wa kuwafikisha mbinguni, huku mchungaji mwenyewe anavunja nyumba za wananchi ili apate ardhi.
  6. MKATA KIU

    Natafuta kiwanja Kivule mpaka Msongola. Bajeti ni milioni 5 na kisipungue sqm 300

    Majohe sehemu gani? Na kiwanja kina size gani?
  7. MKATA KIU

    Tetesi: Gamondi and Yanga business is over. Yanga seeking a new manager

    Yanga imenikera sana kumsajili Aziz Ki kwa mkataba mfupi. Bora hata gamondi. Ila kwa aziz kii ni upumbavu kumpa miaka miwili tu.
  8. MKATA KIU

    Maisha ya Ndoa Takatifu: Changamoto na suluhisho katika jamii ya kisasa

    Topic sana. Kwangu mimi na mawazo yangu ndoa takatifu inapatikana kama ndoa hiyo ikifungwa mapema. Mume na mke wasiwe na ma ex nyuma ama msururu wa ma x. Bibi harusi aolewe bikra na ikiwezekana na mume nae awe hajawai ku do. Ndoa hizi za kisasa ambazo zinafungwa age za wanandoa above 30s...
  9. MKATA KIU

    Mwambie mkeo umeandikisha jina la mtoto wenu kwenye hati ya kiwanja na nyumba

    Kama nyumba alikukuta nayo kabla hamjafunga ndoa. Sioni sababu zake za kulalamika. Pia sheria ya ndoa inaruhusu mali ya wanandoa kuandikwa jina la mtu mmoja
  10. MKATA KIU

    Natafuta kiwanja Kivule mpaka Msongola. Bajeti ni milioni 5 na kisipungue sqm 300

    Habari wadau. Natafuta kiwanja maeneo ya Kitunda Kivule mpaka maeneo ya Msongola. Bajeti yangu ni milioni 5. Ukubwa wa Kiwanja kisipungue sqm 300. Kama kikiwa kikubwa zaidi nitashukuru. Kama unauza kiwanja maeneo hayo karibu unipe sifa zake. Pesa ipo mfuko wa shati
  11. MKATA KIU

    Je, Anthony Edwards ndio Next NBA Legend?

    hoja yako ya alishikwa. je alishikwa kivipi mpaka akafunga 36 points kwenye hiyo game 5 ?
  12. MKATA KIU

    Bodaboda nao waomba kusafiri na Rais Samia kwenye ziara za nje ya nchi

    NA mama ntilie na wao wawepo kwenye safari. ili wakajifunze kutoka kwa mama ntilie wa majuu jinsi wanavyopika kwa usafi na jinsi wanavyoosha vyombo haraka
  13. MKATA KIU

    Je, Anthony Edwards ndio Next NBA Legend?

    game 5 mavs vs wolves kyrie irving alimaliza kwa kufunga 36 points . kufikisha 36 points kwenye mechi ambayo haijaenda hata overtime, ndio kushikwa? wolves hakuna mchezaji hata mmoja aliyefikisha 36 points. ila kyrie alifikisha kwenye game 5
  14. MKATA KIU

    Je, Anthony Edwards ndio Next NBA Legend?

    Ameongelea bad day ya kyrie irving kama ya leo haitaweza kutokea kila siku. Its impossible kwa kyrie irving kufunga point chache kama point 16 kama alizofunga leo kwenye mechi zote 4 mfulizo. Lazima kuna mechi atawaka kama kawaida yake Na hiyo ndio itaclose series. Maana mechi moja tu mavs...
  15. MKATA KIU

    Mwanamke: Mtafute mumeo, usikae tu

    njoo dm. tunaosaka wake tupo
Back
Top Bottom