we unaonekana ni mvivu hivi kazi ya kufagia barabara unakuja kuitafutia jf umeidhalilisha jf hii great thinker labda nikupe ushauli jichanganye katika kazi yoyote hata kama huipendi ndipo utapata mwanga
unajua ukigoogle kwa kutumia lugha ya kiswahili ukitaka kujua kitu chochote katika ya matokeo ya kugoogle mara nyingi jf huwa imo na ndivyo nilivyoijua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.