1. Yaani ukifikiri kama panzi unakuwa panzi; lakini ukifikiri kama tajiri hauwi tajiri
Hahahahah nimeipenda hii, ila wadogo zetu hamjawahi kuteseka shida kidogo mnalialia.....
watoto wajue kujieleza kingereza fasaha, wajue kujumlisha, kutoa, kugawanya na kuzidisha hayo mengine ni mbwembwe....na ujue mtoto atafikia mahala ata branch out...hatakuwa kama utakavyo na jiandae na hiyo hali mapema mpe nafasi ya kujidhihirisha tokea akiwa mtoto wa primary
Mim watoto nawasomesha shule za kingereza za kawaida, nachoangalia ni ubora wa chakula na upendo wa walimu kwa watoto katika shule husika.
Mambo ya kufauli au kufeli wala hayanitishi....nachohitaji mtoto akue akijua hesabu na kingereza cha kuanzia mengine mbele lwa mbele
MUNGU alimtumia kahaba Rahabu kuingia agano la kuwaokoa watu wa nyumbani kwake kutoka kwa wana wa Israel
Hapa ondoa UWOYA ila makahaba waweza tumika na MUNGU vizuri tu
Mbona sijaona wakiteswa zaidi ya maelezo ya waliteswa....wale wa URUSI ndio tuliona walivyochezea kichapo....
Mtu ukiambiwa ulete ugaudi urusi unaanza kulia kwa namna utakavyopigika, sio hao ISRAEL na USA mara human right kwa magaidi ujinga mtupu
Ukifanya kazi japo hata kwa miaka miwili utajua uchukue masters ya mrengo upi hasa badala ya kukurupukia....yaan utafanya masters ambayo utaifaidi kazin na sio ibakie kwenye makaratasi
Apumzike kwa amani huko aliko MAGUFULI
Ila alipenda sana sifa na alitaka tumwabudu na kumsujudia.....ndio maana wengine walimfananisha na YESU
Huu ujinga wa uchawa na kusifia sifia aliuleta huyu Dikteta Magufuli
Kila mara nasema hata afanye mabaya kiasi gani SAMIA ataendelea kuwa rais bora...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.