Recent content by LUCAS HOOD

  1. LUCAS HOOD

    Naombeni ushauri kuhusu tatizo langu la urethra stricture

    Ndio natak ni apply kwasababu tatizo ni kubwa nawaza INDIA wanaweza nisaidia
  2. LUCAS HOOD

    Naombeni ushauri kuhusu tatizo langu la urethra stricture

    Habari zenu wana jamvi, Bila kupoteza muda mimi ni kijana mdogo 20s Nimepata TATIZO naliona pigo kubwa katika maisha yangu. Nilipata ajali niladondokea kinena yani njia ya mkojo ikaziba kabisa ila jogoo anawika. Nipo katika process ya matibabu ila natumia CATHETER kujisaidia haja ndogo mwezi...
  3. LUCAS HOOD

    Mifugo Hifadhi ya Ruaha ni balaa

    [emoji23][emoji23]hakuna sera, wakati umebadilika ila hatuna viongozi wenye mipango.. Mawaziri wetu hawana tija (wenge wao) kulingana na sekta zao huyu mama anaelemewa sana.... Sioni haja ya Waziri kuteuliwa kwa kigezo cha ubunge!!!!!
  4. LUCAS HOOD

    Malengo hasa ya kuzaa watoto wengi ni nini?

    Majira yamebadilika, na sisi lazima tubadilike
  5. LUCAS HOOD

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Pwani kuna matunda yaliwayo kimasihara
  6. LUCAS HOOD

    Napata faida ghafi kwa siku 400,000=lakini mtaji hauongezeki

    Uswahili upo kuna siku nimeingia job ,fungua droo huez Amin pesa zimeliwa na panya Zote zaidi ya 300k . Sitoisahau
  7. LUCAS HOOD

    Unakumbuka nini wakati unafanya mtihani wa Kidato cha Nne

    Calculator sio unakaa nayo full time ila kuna upuuzi unaitwa logarithm lazima utumie
  8. LUCAS HOOD

    Ujio wa Polepole na Happi utaifanya CCM iwe Imara zaidi?

    [emoji23][emoji23]umewaza mbali sana
  9. LUCAS HOOD

    eFootball Special Thread

    Anyone friendly
Back
Top Bottom