Unaongelea hakuna hilo neno wakati nimeliweka na nimelitumia au ni nini maana ya neno ? na hapo nilipoandika nimeweka maneno typo, na all I can say..., au na hayo ni kiswahili au unadhani hapa naandika thesis au na mimi ni Broadcasting Company....
Kwa Taasisi kubwa hio sio excuse hawakatazwi kuajiri proof reader.., kukosea wote tunakosea kuacha kosa liendelee kuwepo inaonesha kukosa Umakini..., Sasa kama mtu anayenilisha Habari sio Makini inaweza pelekea kutokuamini anachonilisha....
Kwahio unaongelea hio typo au hata mtiririko wa maneno hauleti maana kwa haraka ? Kama ni typo basi mkuu all I can say is......
A Pot calling a Kettle Black.....
Huu utakuwa ni Utani sababu mtu mwenye busara zake hawezi kuongea kwa rejareja bila kujua kwanini watu wanatumia wanachotumia...
Battery Power (Bila umeme wa uhakika smart phone zinatumia umeme kuliko dumb phones) hivyo ni bora mtu akapata mawasiliano mpaka ya net kwa muda mfupi lakini...
Bila kujua tatizo hatuwezi kutibu Ugonjwa ?
Hivi mnadhani hizi gharama za Bundle ni sababu ya Mitandao kutoza bei kubwa au ni Tozo na bei Elekezi ya Serikali ndio inapelekea haya mambo ?
Kumbuka Skype ilikuwa bure Tanzania wakaikataa isipunguze mapato yao through TTCL; Kumbuka ni hawa walikuwa...
Tanzania - Chanzo cha Binadamu
Kwanza kabisa ya Kaisari tumuachie Kaisari....; Tukifuata Historia Tanzania ni kwamba Chimbuko la Binadamu wa Kwanza ni nchini Tanzania Olduvai Gorge.., Ni kwamba hapa ndio Chanzo cha Binadamu na wote tumetokea hapa....; - Sasa hapo utaona kama vile watu...
Chombo chochote unaweza kupata za DC ila sababu majority wameungwa kwenye grid vyombo vingi vya umeme ni AC..., na kwenye gari pia kuna advatange ukiwa kwenye mwendo ile nishati ya uendeshaji inachaji battery pia...., mimi hapa kwenye suggestion yangu tuachane kabisa na issue za battery yaani...
Naam badala ya kutumia pesa zetu kujaribu kupelekea watu mitungi ya gesi au kufanya maigizo ya kuwapa mitungi hio ni vema nguvu hizo zikatumika kuwauganisha na umeme hawa ndugu zetu wa vijijini....
Ofcourse hata pasi za DC au kila kifaa kinaweza kuwa converted na kufanya kazi directly from DC ila kuna vyombo vingapi watu wanavyo vya DC na je watakuwa na DC kuanzia Induction, mpaka Microwave, electronics nyingi ni DC na ni efficient kutumia DC hata kwenye AC ni kwamba huwa zinakuwa...
Kutumia panel DC kwa ajili ya kupikia ni kujidangaya haiwezekani ufanye hivyo directly vifaa vingi ni AC na Wattage ni kubwa na kutoa kwenye panels, kupeleka kwenye battery alafu kubadilisha tena kuwa AC alafu upikie utakuwa wendawazimu...., Kwahio process ipo vipi angalia.....
Tanesco na umeme...
Na hii kwako wewe unaona ni efficient kuliko mtu kuwa na panels kwenye Paa lake na bila kufanya lolote ?, Na undhani hii inaweza ikawa replicated kwa kila kaya ?
Watu ni wavivu na hawataki kufanya lolote ndio maana watu kama magereza na mashule ambao wanazalisha kilo za kutosha za kinyesi...
Ni kwamba electronic data storage is affected by electromagnet ndio maana kama ulishaangalia Series ya Breaking Bad aliweza kufuta data kwenye storage kwa kutumia electromagnet - That scene was / is based on True Facts - If You put a Strong Magnet kwenye digital data storage you wipe out the...
Hivi unadhani hii ndio mara ya kwanza au itakuwa mara ya Mwisho ?
Haya mambo yanatokea na ni kawaida cha maana ni kuwa na back-up za kutosha..., ila kitu kinachotisha watu na kipo kwenye movies ni bomu la Electromagnet Bomb hence wiping out of the data.... Hence watu kufikiria protection ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.