Aiseeh chai Mimi sinywi Huwa nachukua nyanya mbichi,kitunguu,pilipili kidoogo hoho,embe,tango, carrot,limao,
vinaoshwa kwa maji Safi vina katwa katwa Kisha vina liwa Kama kachumbali
Baada ya Hapo niku nunua chupa za maji mpaka jioni inakuwa ni kazi kazi
Huyo sio chizi mkuu sema yeye ndio anakuona wewe chizi
So anatumia Technic kukuzuia usiongee nae sjui umenielewa?
Yani kwa mfano unaweza ukamuuliza mguu una vidole vingapi? Akakujibu vipo 8
Uka mshangaa ukamuuliza Tena kwa sauti umesema mguu mmoja una vidole vingapii Pumbavu wewe?
aka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.