Huwa najiuliza ujinga wa watu hao wame barikiwaje kuwa na ujinga walio nao?
Huwa najiuliza ni ipi tofauti ya mtanzania na mzambia,mkenya,md.r.c,mmalawi,nakuja kugundua wote Niwa moja
Na pia Ukiangalia mipaka yetu udongo wetu,mimea yetu vyote vinatuambia sisi ni ndugu,sisi damu moja.
Cha...
Kila km 5 mbele nyuma kushoto na kulia zijengwe police stations Kisha police wantakao kuwa kwenye vituo hivyo wawe ni soldiers walio valia sale za jeshi la police
Na vituo hivyo viwe na siraha za kivita kwa Siri sio Kama zile za kuwatishia wanywa gongo pale uyole kingani
Aiseeh chai Mimi sinywi Huwa nachukua nyanya mbichi,kitunguu,pilipili kidoogo hoho,embe,tango, carrot,limao,
vinaoshwa kwa maji Safi vina katwa katwa Kisha vina liwa Kama kachumbali
Baada ya Hapo niku nunua chupa za maji mpaka jioni inakuwa ni kazi kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.