Mkuu nipe email yako nikutumie clip niliyoirekodi kwa simu yangu ikionesha meli iliyobeba baadhi ya mashine kazi za pale Bandarini ikiwasili. Ilikuwa ni three weeks ago.
Tatizo wabongo hamtaki kufatilia vitu ila mnajikuta wajuaji. Mpaka sasa watumishi 253 kutoka TPA wamehamia DPW na mshahara wa...
They say "What goes around, comes around"
Kuna siku watu watasimama kutoa ushahidi wa uongo dhidi yako. Mshirikishe Mungu katika hili. Have a blessed Sunday.
Habari zenu wakuu.....
Katkit hapa, baada ya kuugua kwa kipindi kirefu (almost 3 months) namshukuru sana Mungu nimepata nafuu sasa.
Ugonjwa usikie kwa jirani aisee, usije ukadharau ugonjwa wowote, hakikisha unawahi hospital unapata tiba mapema kuepuka gharama za ziada.
Mungu ni wetu sote!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.