Mkuu nipe email yako nikutumie clip niliyoirekodi kwa simu yangu ikionesha meli iliyobeba baadhi ya mashine kazi za pale Bandarini ikiwasili. Ilikuwa ni three weeks ago.
Tatizo wabongo hamtaki kufatilia vitu ila mnajikuta wajuaji. Mpaka sasa watumishi 253 kutoka TPA wamehamia DPW na mshahara wa...
They say "What goes around, comes around"
Kuna siku watu watasimama kutoa ushahidi wa uongo dhidi yako. Mshirikishe Mungu katika hili. Have a blessed Sunday.
Habari zenu wakuu.....
Katkit hapa, baada ya kuugua kwa kipindi kirefu (almost 3 months) namshukuru sana Mungu nimepata nafuu sasa.
Ugonjwa usikie kwa jirani aisee, usije ukadharau ugonjwa wowote, hakikisha unawahi hospital unapata tiba mapema kuepuka gharama za ziada.
Mungu ni wetu sote!
Huo utaratibu upo tangu 2005 mimi nilipoanza kusafiri majini. Halafu usisingizie ulichelewa boti, wote tunajua nauli ya usiku ni cheap sana compared na za asubuhi - mchana. Tafuta hela uache malalamiko. Usiku ni spesho kwa kusafirisha mizigo.
Binafsi sioni gharama kama kuna huduma nzuri, ishu ni dereva kupaki gari sehemu ambayo huduma ni mbovu, hii huwa inanikwaza sana kmmk. Mfano kuna upumbavu upo pale Mdaula kwa mbele kama unatokea DSM au Ubena kwa mbele kama unatokea Moro, ule mgahawa pale ni takataka ***** zao. Huwa napenda sana...
Hiyo ni kawaida ya Ubongo kujiongezea maneno baada ya kusoma herufi ya kwanza inakudirect kwenye database ya maneno yote uliyowahi kuyaona then inachagua moja ambalo linataka kufanana na hilo unaloliona.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.