Kwa wataalamu wote wa mtandao,
Natafuta mtaalaamu wa program ya quick book au progam yoyote itakayonisaidia kwenye biashara ya dawa,
itakayo onesha kiasi cha dawa kilichoingia, kilichotoka na kilicho baki.
Mwenye taaluma hiyo tuwasiliane niko hapa Dar.
Nashukuru sana kwa ushauri, nafikiri wote waliokumbwa na tatizo hili la kucheleweshewa vyeti zaidi ya mwaka sasa, ushauri ndo huo tujipange tudai haki yetu.
Mimi nimemaliza masomo ya chuo kikuu tangu 2013 july
Kinachoniuma ni kwamba hadi leo hii 20\5\2014 vyeti bado hatujapata na wote tulifaulu na mahafali yalifanyika 14/12/2013
TUFANYEJE?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.