Du nimekuelewa mkuu Ila wabongo wengi ndio tunacheza humo sasa kama ni wwe oppo a31 na oppo f11 unaenda na ipi? iyo a31 ndio natumia ile ambay imegoma kweny Wi-Fi
na iyo f11 ndio nilitaka nichukue
Mambo vipi wakuu hapa juzi Kati nilinunua simu ya redmi used note 12 5g ushauri alinipa mkuu Chief-Mkwawa
hii simu nimeuza baada ya mwama mmoja kuja na dau kubwa zaidi ya lile nililo nunulia.
Sasa kivumbi kipo hapa ambapo nimetoka kapa na nahitaji darasa kubwa Tu na wadau wengine pia watapata...
Nataka nijue hii kwanini usafiri Alibaba ni ghali mno ? Yani ukitaka sample ata saa ya $2 pc 1 seler atakwambia kuhusu agent wa usafiri
akifanya calculation zake ajabu inakuja samp $2 usafiri $50
Tofauti na Ali express unachukua mzigo labda flash ya $2 pc1 na unakuta usafir labda 800 na unalipa...
Liza Anasema alifanya makosa kingine utoto Tu anasema nilikua mwanaume sahihi kwake mi sijui....... Usikite mbele nami ningekua kivuruge
Anasema nimsamehe Sana akili za kitoto Tu zile maisha kwake ovyo ni magumu Sana nimpe chance again
wakati anajua tayari nina mke iyo chance nampaje kifupi...
Mwalm tawete alifundisha shule gani? Na ni secondary au primary nakumbuka niliwai fundishwa na mwalm tawete primary mfaranyaki Ile shule IPO karibu kabisa na uwanja wa mpira majimaji uyu alikua anakaa maeneo ya lizaboni huko sasa sjui ruhuwiko alikua anafika au aliishia hapo lizaboni ni mmama.
Wakenya katika mitandao ya kijamii wamechangamkia sana wimbo wa Stella Wangu wa mwanamziki mashuhuri wa humu nchini Freshley Mwamburi.
Wamechangamkia wimbo huo wakikumbuka leo hii ni tarehe 17 mwezi wa tano mwaka wa 1992 mpenzi wake wa Kenya, Stella, aliposhuka kutoka kwa ndege na mchumba wake...
Natumia simu brand ni
oppo a 31 , Leo nipo job imegoma Ku connect WiFi sijajua shida nini wenzangu simu zao wanatumia saf mmoja ana oppo A8 lakini yangu ni big no ukiwasha ina connect then later inakuja neno
no data connection sijajua natatua vipi wakuu msaada please 🙏 kumbuka WiFi ipo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.