Recent content by Forest Hill

  1. Forest Hill

    Ulishawahi kuishi Maisha ya Kuungaungu Baada ya kupoteza Kazi au Biashara?

    Maisha haya, mwenye mshaara mkubwa ndio analipiwa nyumba na gari,mwalimu analipwa laki 6 Kila kitu analipia,anakatwa Kodi,watunga sera mshaara mlima hakatwi hata Senti,.
  2. Forest Hill

    Nini huja akilini mwako unaposikia neno Kenya?

    Steve anapenda watoto wakali,SI unajua mtu mashuuri,dada yetu kisu??
  3. Forest Hill

    Ulishawahi kuishi Maisha ya Kuungaungu Baada ya kupoteza Kazi au Biashara?

    Hah sikumaliza kuandika Nika press enter,nilitaka Kusema anaelipwa milion kumi,nyumba anapanga suburban neighborhood,watoto shule za gharama,gari Cc2000,nae kwake milion kumi sio kitu
  4. Forest Hill

    Ulishawahi kuishi Maisha ya Kuungaungu Baada ya kupoteza Kazi au Biashara?

    Kweli ndugu hapo nimeelewa..so means hata ukilipwa million kumi,nayo itakua ngumu kutunza Natokea maisha magumu mkuu,ukitokea Uzi wa kushindana shida nitag nichangie,, sijawahi kuajiriwa ndio maana nimeuliza..
  5. Forest Hill

    Nini huja akilini mwako unaposikia neno Kenya?

    Stevoo simple boy, handsome boy,tumpe mrembo mmoja humu jf
  6. Forest Hill

    Naishauri Yanga na wachezaji kususia siku itakayopangwa na TFF kutoa tuzo za masharti

    Jobe anastahili,tuzo ya mshambuliaji kimeo
  7. Forest Hill

    Ulishawahi kuishi Maisha ya Kuungaungu Baada ya kupoteza Kazi au Biashara?

    Mimi Nina swali,sio kwa ubaya.. huwa inatokana na Nini mtu anafanya kazi miaka mitano,but akipigwa chini miezi miwili tu analia njaa, Hata akiba ya Kuanza biashara ndogo Huwa hakuna??hata Hela ya kula miezi sita wakati unajitafuta hakuna?? Changamoto inakuga Nini??
  8. Forest Hill

    SCREENSHOTS: Wimbo gani unasikiliza sasa hivi?

    Young Metro
  9. Forest Hill

    Mgombea Urais wa CCM 2030 lazima awe kijana with zero corruption status. Je, ni nani kati ya hawa?

    Mpeni yeyote tu,ilimradi awe anajua kusoma na kuandika tu,
  10. Forest Hill

    Kwanini wanamuziki wengi wa Marekani hawatoi nyimbo zenye maneno matamu ya mapenzi kama ilivokuwa miaka ya 1980's?

    Wewe umemaliza Mimi sitoweka neno,mtoa post sio mtu wa mziki,wakina Sabrina carpenter,Nikki,Ella Mai,Dua Lipa,wanatoa kazi Kila siku,yeye anamskiliza Doja cat
  11. Forest Hill

    Kwanini Yesu Kristo hakuoa, hakuwa na mwanafunzi wa kike, pia Yesu hakuwa na ukaribu wala urafiki na wanawake? Kuna nini nyuma ya pazia ?

    John 12:3, Then Mary took about a pint of pure nard, an expensive perfume; she poured it on Jesus' feet and wiped his feet with her hair. And the house was filled with the fragrance of the perfume.
Back
Top Bottom