Ahsante Sana kwa maoni. Nami niruhusu nielimishe kwamba; ni uelewa tu, kwa kuwa, idara ya watoto inashughulika na watoto wote wa kike na kiume kupitia program ya malezi na makuzi, lakini madawati ya ulinzi wa watoto shule za msingi na Sekondari ni wote, kwenye madawati ya Jinsia na watoto Polisi...
Naweza kusema tu kuwa, ufuatiliaji wako kuhusu kazi nafanya nadhani siyo wa Kila siku kwa Kila content. Ndiyo maana kuna kazi zangu zingine hukuzipata. Ingia google andika Dorothy Gwajima Shinyanga, kisha chagua video halafu tafuta video moja ina dakika 3.19 ya tarehe 5 Disemba 2022 kisha uje...
Ahsante Sana kwa maoni. Wanaume wengi hawajakubali kuwa, binadamu wote Wana udhaifu wakati fulani fulani na udhaifu siyo ulemavu bali inaweza kuwa ni kiwango cha hekima fulani katika kuepusha madhara. Sasa tuna mikakati ya kuelimisha jamii ya wanaume tangu wadogo, vijana na hata watu wazima...
Kweli, nami nimeendelea kupokea sms nyingi za wanaume na kuwapa huduma kupitia Dawati la jinsia. Changamoto kubwa ninayoona ni kuwa, mindset ya wanaume wengi hawajakubali kuwa, kama binadamu, hata wao kuna wakati wanahitaji hizi huduma, wanaona kama vile wao siyo watu wa kukutwa na msongo wa...
Ahsante Sana kwa maoni, tunaomba ushirikiano, tunaanza kwa upya kabisa mapambano kama timu moja ya taifa ngazi zote, huku maoni yenu yakiwa chachu kwenye safari ya utekelezaji. 🙏🏽
Wasaalam.
Nawashukuru watanzania wote kwa ufuatiliaji wa wasilisho la bajeti ya wizara ya jamii 2024/25.
Namshukuru Mungu kwamba, mjadala mkubwa wakati wa uwasilishaji, ni ishara ya elimu kuifikia jamii kwa kina kuhusu kupambana na kutokomeza ukatili wa kijinsia na kudhibiti mmomonyoko wa...
Ahsante Sana kwa ufuatiliaji wa habari za jamii. Ahsante Sana kwa maneno ya baraka. Naamini tutaendelea kushirikiana kwa wakati wetu huu duniani, tupande mbegu njema na kuipalilia ikazae matunda na mavuno mema. Inawezekana maana tuko pamoja na wamoja🙏🏽🇹🇿.....
Wasalaam,
Ile siku ni Leo tarehe 15 Mei, 2024. Kila mkoa unaadhimisha na wilaya zake na kata zake na vijiji vyake.
Vyombo vya habari vinapaza sauti. Ukiona kimya uliko, basi kuna mtu hajatimiza tu wajibu wake wa kupaza sauti au wa kusikiliza sauti iliyopazwa.
Sisi tuko Dodoma, Viwanja vya...
Kuna mahali hekima husimama na kuzidi vingine kutegemeana tu na hali ilivyo. Nadhani hata kwenye vyombo vya haki nao kuna wakati wanarejea hekima inasemaje. Ila tutafika tu ndiyo tumeanza. Ahsante Sana kwa maoni, nakuelewa concern yako. Shukrani
Ahsante Sana kwa mrejesho. Tunaachana padogo Sana na jamii. Wanapotoa taarifa hatua zikawa haziendi hapo si ndiyo pakuwasilisha rufaa ngazi ingine juu zaidi? Si ndiyo maana na namba tunatangaza, sasa mtu anaenda hatua moja, anakutana na mtu mmoja hana maadili kivyake tu, qnaishiq hapo...
Ndugu zangu, tukishakuwa na sheria ni zetu wote, natarajia hata wewe ndugu yangu uchukue hatua umshtaki mtu uje tu na taarifa kuwa mimi kama raia mwema sipendi hili na lile na huyu kakosea sheria hii hapa nimemshtaki kwa nafasi yangu kama raia na RB hii hapa. Sasa mkitaka mtu mmoja ashtaki watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.