Niambie kikundi Gani kilichosajiliwa kihalali na government under NacoNGO, kinaweza toa nafasi za kujiunga na management kuu ya organization free ukilipata Hilo shirika nambie. Sijatangaza kazi ila kama ulisoma vizuri Kwa upana wako utaona mahitaji members wakutusaport katika bodi ya Wakurugenzi...
Inaonyesha kuwa simba Hawa wapo zoo na hakuna majike, je kama ni test ya zile dawa za kuleta hamu Kwa wanaume kusarandiana utaaminije Kwa clip ya video ambapo simba Hawa ni wakufugwa kabisa unaonyesha. Tunataka tudhihirisha pori halisi.
Nakumbuka Mzee wangu katika ukuaji wangu alikuwa ananizuia kunywa maji huku nakula kuwa italeta kisukari sikuwa na uhakika ila ilikuwa fact sana kwangu katika digestion system
Children Hope Organization ni shirika lisilo la kiserikali, limeundwa na bodi ya Wakurugenzi 5 wenye Nia ya kulisaidia Taifa katika kuleta maendeleo katika jamii kupitia ufadhili wa mtoto, hivyo bodi ya Wakurugenzi inaomba raia watakaowiwa kufanya kazi nasi katika kuleta maendeleo katika jamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.