Recent content by darcity

  1. darcity

    Ukipita Ubungo Flyover lazima umkumbuke Hayati Magufuli

    Ukiondoa bwawa la Nyerere na daraja la Busisi miradi mingine mingi ilishaandaliwa na kusainiwa mikataba kuanzia reli,barabara,madaraja flyover za ubungo,Tazara n.k
  2. darcity

    Ukipita Ubungo Flyover lazima umkumbuke Hayati Magufuli

    Rejea hii mada ya JF ujue Ujenzi ulianza lini 2014. Magu alitafuniwa akaachwa ameze https://www.jamiiforums.com/threads/serikali-kujenga-barabara-nne-za-juu-dar-es-salaam.705561/
  3. darcity

    Nimesikitika sana, simu ya shemeji yangu imejaa Apps za mikopo

    Mtoto wa kiume unaanzaje kupekua Simu ya MTU? Ulitaka ugundue nini?
  4. darcity

    Natafuta pempers ya mtoto mwenye kilo 28

    Pole Kwa changamoto mkuu tafuta naamini utapata
  5. darcity

    Hawa ‘slay queens’ wa town wanatumia dawa nini?

    Maghayo Mangi mwenzako kaingia mjini....kapagawa!
  6. darcity

    Serikali isisubiri vifo zaidi kufanyia upanuzi wa barabara ya Kilwa kuanzia Mbagala

    Shida ni manispaa ya Temeke na TARURA sio serikali kuu
  7. darcity

    Nilimshirikisha mama yangu mafanikio yangu nikadhani amefurahi, baada ya muda kila nikiwasiliana naye ananiambia isijekuwa naenda kwa waganga

    Mchukue Mama yako mpeleke Mwenye hiyo Kampuni aonane na maofsa wa hapo wamueleweshe. Usichukie na wala usdharau wasiwasi wa Mama yako, yeye kama mzazi ana wajibu huo
  8. darcity

    Ubadhirifu: Huu ndio Msafara wa Makonda kwenye ziara za Wilayani huko Arusha

    Mbona hizi ni gari za kupeleka watalii mbugani
  9. darcity

    KERO Kila mtoto anatakiwa aende na kiasi cha Tshs 1,500 (Shule ya Msingi Makabe)

    Kama unaona elimu ni gharama basi wewe itakuwa mjinga
  10. darcity

    African Satellite World and Sat Gear

    You are right 👍
  11. darcity

    Sijawahi kuona Rais kama huyu tangu nchi yetu iumbwe

    Unamsimanga marehemu?
Back
Top Bottom