Ukiondoa bwawa la Nyerere na daraja la Busisi miradi mingine mingi ilishaandaliwa na kusainiwa mikataba kuanzia reli,barabara,madaraja flyover za ubungo,Tazara n.k
Rejea hii mada ya JF ujue Ujenzi ulianza lini 2014. Magu alitafuniwa akaachwa ameze
https://www.jamiiforums.com/threads/serikali-kujenga-barabara-nne-za-juu-dar-es-salaam.705561/
Mchukue Mama yako mpeleke Mwenye hiyo Kampuni aonane na maofsa wa hapo wamueleweshe. Usichukie na wala usdharau wasiwasi wa Mama yako, yeye kama mzazi ana wajibu huo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.