Recent content by Cute Wife

  1. C

    Serikali na Wasafi TV mlitakiwa muwe mmeshakuchukua hatua za kinidhamu kwa Makonda na Oscar. Ukimya wenu unamaanisha mmebariki udhalilishaji huo?

    Acha kufata mkumbo, kwakuwa makelele hayakusikika sehemu nyingine haimaanishi hili ni sawa, kama angekuwa mama yako naamini usingejihisi vizuri, vivyo hivyo iwe kwa watu wengine hata kama huwajui wala huna ukaribu nao
  2. C

    Serikali na Wasafi TV mlitakiwa muwe mmeshakuchukua hatua za kinidhamu kwa Makonda na Oscar. Ukimya wenu unamaanisha mmebariki udhalilishaji huo?

    Kila anayepinga ujinga unaofanya na baadhi ya viongozi CCM ni CHADEMA? Unajiona umetoa bonge la point mwenyewe! Kuna wengine hatuna vyama kokote wanapoboronga tunasema
  3. C

    Serikali na Wasafi TV mlitakiwa muwe mmeshakuchukua hatua za kinidhamu kwa Makonda na Oscar. Ukimya wenu unamaanisha mmebariki udhalilishaji huo?

    Unasema nyie akina nani? Tatizo tanzania hii umeona ni ripoti ya CAG tu? Wewe umesema nini kwenye wizi huo? Sio laizima kila mtu aongelee kile unataka kusikia, nisiposema mimi anaweza ongelea mwingine, unaweza ongelea hata wewe. Fungua hiyo akili, upeo wako usiishie hapo kwenye pua tu
  4. C

    Serikali na Wasafi TV mlitakiwa muwe mmeshakuchukua hatua za kinidhamu kwa Makonda na Oscar. Ukimya wenu unamaanisha mmebariki udhalilishaji huo?

    Ndio uwezo wako wa kufikiri ulipoishia? Kazi kweli kweli🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️
  5. C

    Makonda: Vijana achaneni na siasa, hailipi. Pesa ndiyo inalipa

    Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ametoa wito kwa vijana kuachana na siasa kwakuwa siasa hailipi badala yake wafikirie kuhusu kutengeneza pesa, maana pesa ndio inalipa na ukiikosa hata kwenye uchaguzi huchaguliwi! Pale ambako mwanasiasa anakwambia siasa hailipi! Kama hailipi mbona haachi...
  6. C

    LIVE Je, nini kifanyike ili kuongeza Ushiriki wa Wananchi katika Mapambano dhidi ya Rushwa?

    Umesema yote Mkuu, hata kama wananchi wana ari ya kupambana na rushwa, wanavunjwa moyo na serikali yao ambayo inanuka rushwa, ufisadi na ubadhirifu wa mali za umma
  7. C

    LIVE Je, nini kifanyike ili kuongeza Ushiriki wa Wananchi katika Mapambano dhidi ya Rushwa?

    Hivi, takrima, rushwa, hongo, hela ya brush zote ni rushwa?
  8. C

    LIVE Je, nini kifanyike ili kuongeza Ushiriki wa Wananchi katika Mapambano dhidi ya Rushwa?

    Halafu wananchi waache kuchukua rushwa wakati viongozi ndio wanaongoza kuzitoa!
  9. C

    LIVE Je, nini kifanyike ili kuongeza Ushiriki wa Wananchi katika Mapambano dhidi ya Rushwa?

    Nyuki wa mama nasubiri kuona maoni yenu hapa johnthebaptist Lucas Mwashambwa ... Erythrocyte na Mshana Jr mnasemaje?
  10. C

    LIVE Je, nini kifanyike ili kuongeza Ushiriki wa Wananchi katika Mapambano dhidi ya Rushwa?

    Wananchi tuone wala rushwa wanashughulikiwa kweli, na ukitoa taarifa ya mtu kupokea rushwa usibugudhiwe
  11. C

    Luhaga Mpina: TBC inadharau Bunge kwa kukatisha matangazo Mubashara ya Bunge na kurusha warsha na ziara za viongozi

    kwa siku za hivi karibuni hadi Bunge linakatiwa matangazo ya moja kwa moja (live coverage) na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) na chombo hicho kujiunga na kuripoti matukio ya warsha, makongamano na ziara za Viongozi. Kwa Mamlaka lililopewa Bunge katika Ibara ya 63 ya Katiba ya Jamhuri ya...
  12. C

    Chalamila: Waliojenga Stendi ya Mwendokasi Jangwani walitakiwa kuchapwa viboko

    Akiwa katika muendelezo wa kusikiliza kero za ananchi, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ndg. Abert Chalamila akiwa Wilaya ya Ilala aliwaambia wananchi waliojenga stendi ya mwedokasi jangwani wanastahili kuchapwa viboko. Ikumbukwe pia Chalamila aliwahi kutoa kauli inayofanana na hii mapema mwaka...
  13. C

    Jeshi la Polisi latoa ufafanuzi juu ya tuhuma za baadhi ya Trafiki kuhusika na uchepushaji wa fedha

    Jeshi la Polisi lingependa kutoa ufafanuzi kuhusu taarifa zilizoandikwa na kusambazwa kupitia vyombo vya habari zikisema "Wachepusha mfumo wa malipo". Taarifa hiyo imeenda mbali zaidi ikidai na kutaka kuaminisha umma kuwa askari wa Usalama barabarani wameingilia mfumo wa malipo ya fedha za...
  14. C

    Serikali na Wasafi TV mlitakiwa muwe mmeshakuchukua hatua za kinidhamu kwa Makonda na Oscar. Ukimya wenu unamaanisha mmebariki udhalilishaji huo?

    Kwahiyo ukirefer hivyo kama mimi ndio hao watumishi umejihisi vizuri mwenyewe?:KEKWlaugh::KEKWlaugh: Nyie ndio mnaochangia ujinga kama huu kuendelea nchini. Haijalishi anaongea na nani kuna taratibu za kufanya kila kitu bila hivyo tutatengeneza mfumo mbaya ambao hata mtu akiuliwa tutaona sawa...
Back
Top Bottom