Recent content by Chinedu5

  1. Chinedu5

    Mabinti wahitimu wa vyuo Amkeni

    Toka magetoni [emoji23][emoji23]
  2. Chinedu5

    Mabinti wahitimu wa vyuo Amkeni

    Habari za muda huu wana jamvi Naandika uzi huu nikiwa kwenye daladala nikirejea nyumbani kutoka kwenye "mihangaiko" ya Kila siku Ndani ya daladala nmekaa karibu na wakina mama wawili wakipare(nimesikia wakiongea kipare). Hawa kina mama wanaelezana kuhusu tabia mbaya za mabinti zao waliohitimu...
  3. Chinedu5

    Ujanja mpya umeibuka wa kutapeli wanawake hela kwa kutumia dating page za Instagram

    Kaka nmekusimulia vzuri tu,ndo unakuja kupost ili wastuke alafu tukuibie
  4. Chinedu5

    Mdau anaomba ushauri kuhusu tabia ya jirani yake

    Sema ajitathimini je yeye anaanza kusalimia watu hawaitikii??maana Kuna masela flani wanajikutaga "ma influensa" mikausho mikali waanzwe wao Kila siku,afu madem zao wapo peace na watu
  5. Chinedu5

    Mke wangu kapasua simu yake tena hii ni mara ya pili kisa hasira za kuchelewa kupokea simu zake

    Siku itafika,utamkosea makubwa atapasua kichwa chako,iyo ni red flag
  6. Chinedu5

    Ukipata limama likomoe chanzo cha vijana wengi kuteketea

    Achana na kulelewa, "mashangazi" Yana namna Yao ya kubembeleza na ku care,kama hujawah kuwa nayo huwezi kuelewa [emoji7][emoji7]
  7. Chinedu5

    Jirani yangu anafanya kazi gani?

    Anafanya trading mtandaoni[emoji23][emoji23]
  8. Chinedu5

    Mchumba wangu ana karama ya unabii, ananitisha!

    Wakili wa hovyo kabisa(kwa sauti ya mwinjaku)[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  9. Chinedu5

    Mambo ambayo mwanaume wa thamani hatakiwi kuyafanya kamwe

    Wengine tangu tumezaliwa tumekuta baba,babu zetu wanakula ngano na Milo mi3 mpka zaidi,for the record babu yangu alikua na WA awake 4,na watoto 32 akila hizo hizo ngano
  10. Chinedu5

    Mwanamke unavumilia siku ngapi kama hupewi tendo la ndoa kabla hujaamua kwenda kwenu?

    Kuna jamaa niliwah kusoma uzi wake humu humu ana kesi kama yako mtafute
  11. Chinedu5

    Mliweza vipi kuoa?

    Ngoja wanakuja wenyewe
  12. Chinedu5

    Boss wangu amemtolea mahari mwanamke mwingine; naumia sana

    Huyu ukisoma thread zake zilizopita unaona kabisa alijua kifuatacho,kajidondosha kwenye penalty box referee kapeta[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  13. Chinedu5

    Boss wangu amemtolea mahari mwanamke mwingine; naumia sana

    You had it coming [emoji23][emoji23]. Nimedondoka kwenye penzi zito na bosi wangu
Back
Top Bottom