Hapo Mjomba Fujo kamaliza kila kitu, hela unaipata hivi, assume umeweka matangazo, matangazo yanaweza kuwa ya Admob (Google), Facebook ama kampuni nyengine, unalipwa na hio kampuni.
Maarufu ni hao Admob na wanalipa kutokana na aina ya Tangazo na Nchi mtu alietoka, watu kutoka Dunia ya Kwanza...
Internet haina PA kuanzia wala PA kuishia, ni muunganiko tu wa Computer Dunia nzima, hakuna kitovu, ukiingia Tiktok, Aliexpress ama Alibaba basi waya wa kwenda China utahusika, ukiingia Amazon basi waya wa kwenda Usa unahusika etc.
Mkuu hili suala lipo nje ya uwezo wetu na halihusiani na Mkonga.
Mkonga wa Taifa ni Fiber networks ambazo zina run humu humu nchini kwetu, hii picha ya Mkonga wa Taifa
Hizo waya ndio zinasaidia watoa huduma za Internet kwa minara yao kuconect nazo na kuweza kusupply internet nchi nzima...
sisi ni vile hatuna mchango mkubwa ndio maana dunia haijaathirika sana. Ila mwenye Starlink ama Satelite internet yoyote atakua hajaathirika, ama anayetumia route ambayo haijakatika maana zipo undersea cable zaidi ya 10.
hapa inaonekana sisi tumebeti njia moja tu
Hizi cable zipo nyingi, na...
Sijui mkuu, ila nimesoma BBC wana re route traffic kwenda waya zingine ambazo hazipitii huko msumbiji, maybe kuna website muhimu muhimu kwao wamezipa priority traffic zake. Ila jf imerudi kwa speed nzuri.
Nimecheki vyombo vya habari hakuna sababu ya uhakika, ILa imekatwa, inaweza kuwa sabotage ama ikawa bahati mbaya tu, hatujui, ngoja wafanye uchunguzi.
Halafu sio sisi tu Kenya, Uganda, Rwanda, na baadhi ya nchi nyingi za Jirani, sasa hivi inabidi wa re route traffic yao kwenda nchi waya...
Internet haiwezi kuzimwa its just sisi kwetu tumeegemea sehemu moja, I think mitandao yote inatumia mkonga.
Tukio kama hili liliwahi tokea around 2011/12 meli iligonga submarine cable na Internet kukata siku kadhaa, Mitandao ikahamia satelite, access ikawepo ila kwa speed ndogo around 80KBps...
Theory yangu mkuu,
Uliosumbua ni waya wa Baharini, ila waya za Kwetu humu ndani hazijaathirika, site ambayo ina server South ama Kenya ama nchi ambayo ni ya Africa unaweza ukai access bila shida ila server za Mabara tofauti zinazotumia route za Bahari zinasumbua.
Kwangu dogo kashinda youtube...
Haipo fresh, haifanyi kitu chochote heavy, pale juu tu nilikua sijai test. Unabrowse tu hapa na pale website nyepesi youtube na mambo mengine yanayotaka data sana havifunguki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.