Search results

  1. Chief-Mkwawa

    App za bure zinaingizaje hela?

    Hapo Mjomba Fujo kamaliza kila kitu, hela unaipata hivi, assume umeweka matangazo, matangazo yanaweza kuwa ya Admob (Google), Facebook ama kampuni nyengine, unalipwa na hio kampuni. Maarufu ni hao Admob na wanalipa kutokana na aina ya Tangazo na Nchi mtu alietoka, watu kutoka Dunia ya Kwanza...
  2. Chief-Mkwawa

    Smartphone za bei rahisi unazoweza kununua

    R6 NZURI zaidi specs wise na ipo mbele gen 2, R6 ni Equivalent ya S21 series, sema Note 10 cpu yake ipo cool na inakaa na chaji zaidi
  3. Chief-Mkwawa

    Bandugu hebu tuelimishane kuhusu umuhimu wa ku-update software kwenye simu za samsung

    Pengine ni simu ya mtandao fulani huko ughaibuni, hizi hazipokei updates direct toka Kampuni husika bali hupokea toka mtandao husika.
  4. Chief-Mkwawa

    Smartphone za bei rahisi unazoweza kununua

    Hata mimi niliona output za hio simu Xda zilikua nzuri sana. https://xdaforums.com/t/camera-sample-aquos-r6.4383271/
  5. Chief-Mkwawa

    Smartphone za bei rahisi unazoweza kununua

    Inabidi sasa ujifunze namna ya kuitumia, maana ni 1 inch sensor hio, hardware yake inakaribia proffesional Dslr.
  6. Chief-Mkwawa

    Pendekezo: Jina la mkongo wa taifa lifutwe haraka

    Internet haina PA kuanzia wala PA kuishia, ni muunganiko tu wa Computer Dunia nzima, hakuna kitovu, ukiingia Tiktok, Aliexpress ama Alibaba basi waya wa kwenda China utahusika, ukiingia Amazon basi waya wa kwenda Usa unahusika etc.
  7. Chief-Mkwawa

    Pendekezo: Jina la mkongo wa taifa lifutwe haraka

    Mkuu hili suala lipo nje ya uwezo wetu na halihusiani na Mkonga. Mkonga wa Taifa ni Fiber networks ambazo zina run humu humu nchini kwetu, hii picha ya Mkonga wa Taifa Hizo waya ndio zinasaidia watoa huduma za Internet kwa minara yao kuconect nazo na kuweza kusupply internet nchi nzima...
  8. Chief-Mkwawa

    Internet Outage: Unatumia mtandao gani wenye nafuu kwenye hili janga?

    sisi ni vile hatuna mchango mkubwa ndio maana dunia haijaathirika sana. Ila mwenye Starlink ama Satelite internet yoyote atakua hajaathirika, ama anayetumia route ambayo haijakatika maana zipo undersea cable zaidi ya 10. hapa inaonekana sisi tumebeti njia moja tu Hizi cable zipo nyingi, na...
  9. Chief-Mkwawa

    Internet Outage: Unatumia mtandao gani wenye nafuu kwenye hili janga?

    Sijui mkuu, ila nimesoma BBC wana re route traffic kwenda waya zingine ambazo hazipitii huko msumbiji, maybe kuna website muhimu muhimu kwao wamezipa priority traffic zake. Ila jf imerudi kwa speed nzuri.
  10. Chief-Mkwawa

    Internet Outage: Unatumia mtandao gani wenye nafuu kwenye hili janga?

    Nimecheki vyombo vya habari hakuna sababu ya uhakika, ILa imekatwa, inaweza kuwa sabotage ama ikawa bahati mbaya tu, hatujui, ngoja wafanye uchunguzi. Halafu sio sisi tu Kenya, Uganda, Rwanda, na baadhi ya nchi nyingi za Jirani, sasa hivi inabidi wa re route traffic yao kwenda nchi waya...
  11. Chief-Mkwawa

    Internet Outage: Unatumia mtandao gani wenye nafuu kwenye hili janga?

    Kama youtube mkuu, kuprove hii theory natafuta vpn nzuri ya ndani ya Africa tuone.
  12. Chief-Mkwawa

    Internet Outage: Unatumia mtandao gani wenye nafuu kwenye hili janga?

    Full HD ina play youtube bila shida kwa Tigo na Zuku nimetesti mwenyewe.
  13. Chief-Mkwawa

    Internet Outage: Unatumia mtandao gani wenye nafuu kwenye hili janga?

    Internet haiwezi kuzimwa its just sisi kwetu tumeegemea sehemu moja, I think mitandao yote inatumia mkonga. Tukio kama hili liliwahi tokea around 2011/12 meli iligonga submarine cable na Internet kukata siku kadhaa, Mitandao ikahamia satelite, access ikawepo ila kwa speed ndogo around 80KBps...
  14. Chief-Mkwawa

    Internet Outage: Unatumia mtandao gani wenye nafuu kwenye hili janga?

    Theory yangu mkuu, Uliosumbua ni waya wa Baharini, ila waya za Kwetu humu ndani hazijaathirika, site ambayo ina server South ama Kenya ama nchi ambayo ni ya Africa unaweza ukai access bila shida ila server za Mabara tofauti zinazotumia route za Bahari zinasumbua. Kwangu dogo kashinda youtube...
  15. Chief-Mkwawa

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Haipo fresh, haifanyi kitu chochote heavy, pale juu tu nilikua sijai test. Unabrowse tu hapa na pale website nyepesi youtube na mambo mengine yanayotaka data sana havifunguki.
  16. Chief-Mkwawa

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Naona kama ni Nchi nzima imezingua
  17. Chief-Mkwawa

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Hata mimi for some time Zuku na Airtel zote zilikata, Tigo inapiga kazi
  18. Chief-Mkwawa

    Mlipuko huu wa Rooters za WIFI kwa kampuni za Simu ipi ni nzuri Kwa matumizi nyumbani?

    Sina uhakika ila kama unauza ndio watakukamata, ila kama unalo matumizi ya nyumbani sidhani kama hata wana time na wewe. Niliwahi kuona mtu alituma picha humu NMB Namanga wanatumia.
  19. Chief-Mkwawa

    Wi-fi problems

    Hapo jaribu troubleshoot ndogo ndogo cheki signal strength kama ni kubwa, kama ni ndogo jaribu kukaa karibu na router, jaribu kukonect wifi nyengine kama inafanya kazi, forget wifi connect upya etc.
  20. Chief-Mkwawa

    Kwa wataalamu wa simu ni ipi tofauti ya simu ya Redmi na Xiaomi

    Kama ulivyojibiwa juu Xiaomi ni kampuni mama ina sub brand zake Redmi, Poco, Mijia etc. Redmi ni simu za budget ndogo, Na Xiaomi kama 14 ni flagship, bei za hizo flagship ni kubwa most of time ni zaidi ya milioni na zinaweza fika milioni 3 hadi 4. Kwa budget hadi 800k kama hujali kuagizishia...
Back
Top Bottom