Recent content by Bongotunacheza

  1. B

    Mchepuko kaomba godoro, wapi nitapata kava nzuri za godoro niweke kwenye godoro ambalo silitumii

    Mtoto anayajua sana mambo kitandani ndio maana nataka nigharamie
  2. B

    Msaada wakuu ni app gani inatumika kuedit au kuweka maneno KWENYE picha kama haya

    Software ipo exactly kwenye video? And vipi kuhusu subtitles?
  3. B

    Mchepuko kaomba godoro, wapi nitapata kava nzuri za godoro niweke kwenye godoro ambalo silitumii

    Take it easy bro maisha sio vita. Kipaumbele changu namba moja kwenye maisha ni starehe
  4. B

    Mchepuko kaomba godoro, wapi nitapata kava nzuri za godoro niweke kwenye godoro ambalo silitumii

    Ni hivi penzi bado jipya kabisa. Na kitoto cha elfu 2. Kimeomba godoro. Siwezi kutoa laki 2 au 3 kununua godoro jipya ila nyumbani kwangu Nina godoro ambalo sili tumii. Ni yale magodoro ya elfu themanini yale ambayo yana ma kava laini ya kuingiza na kutoa. Kava tayari lilisha toka...
  5. B

    Penina wa Goba Centre auawa na aliyekuwa mpenzi wake kwa kukatwa mapanga

    Kamata mwizi meen. Popoma alitaka aonekane na yeye anaishi Dar kwamba anajua habari za ndani za Penina. 🤣🤣🤣 ameumbuka. Yote hiyo kutaka kuonekana na yeye anaishi Dar. Kumbe LIKUD yupo sahihi kabisa kwamba popoma hajawahi kufika Dar.
Back
Top Bottom