Kwani we ni mchawi hadi umuogope nabii anatishia nguvu zako.
Kama wanatoa kwa hiari Yao na pesa zao wewe shida Nini? Mbona kwa waganga wanatoa zaidi ya hizo.
Unayapimaje mafundisho kuwa ni ya kweli au uongo.
Kama avunji Sheria ya nchi hana kosa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.