Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,881
- 13,269
Zamani CCM ilikuwa na machawa wenye akili kiasi,sasa wako na machawa kama wewe, aiseeLema anadhani Makonda anakuja kumuondoa kwenye ushindi wa ubunge.
Anasahau yule siyo mgombea ubunge Arusha bali mtendaji wa serikali.