Tanzania ni moja ya wazalisahi wa Pamba hapa Africa ikiwa sambamba na chi kama Benin, Ivory coast, Burkina Faso, Cameroon, Sudan, Mali, na Nigeria na South Africa.Tanzania inatajwa kuazlisha tani...
Taifa moja
Tanzania ikiwaza, ikiongea na kusikama kama mtu mmoja nani awezaye kutuzuia?
Tuanze kupiga picha Taifa hilo litaonekanaje, na ungejisikiaje kuwa raia wa Tanzania hiyo, majukumu yako na...
ᴍᴏᴅᴇʀᴀᴛᴏʀ ᴇɴᴛᴇʀꜱ ᴀ ᴍᴇᴇᴛɪɴɢ ʀᴏᴏᴍ , ᴇᴠᴇʀyᴏɴᴇ ɪꜱ ʀᴇᴀᴅy ;ᴀɴᴅ ᴛʜᴇ ᴍᴇᴇᴛɪɴɢ ʙᴇɢɪɴꜱ
Moderator: Welcome, everyone, to this discussion on Transforming Tanzania through ICT. Let's start with the government...
Utangulizi,
Tanzania, nchi yenye utajiri mkubwa wa rasilimali, utamaduni na watu wenye bidii, inahitaji mabadiliko ya kimkakati ili kufikia mustakabali bora kwa vizazi vijavyo. Ni wakati wa...
Katika nyanja ya elimu, hadithi zina jukumu muhimu katika kuleta mabadiliko chanya na kuchagiza maendeleo ya nchi. kwa kuzingatia mbinu bunifu, desturi-jumuishi, na uwezeshaji katika sekta ya...
Tanzania yetu tunayoitamani ni nchi yenye ustawi, yenye umoja, na yenye uvumbuzi, ambapo kila raia ana fursa sawa za kutimiza uwezo wake kamili. Maono haya yanaweza kutekelezeka kupitia mkakati wa...
Kwa Tanzania ijayo Kuna marekebisho mengi ambayo yanaweza kufanyika katika sekta mama ya ya elimu hapa nchini Tanzania na ili kuboresha mfumo wa elimu na kuhakikisha kuwa wanafunzi wanapata...
Tanzania, nchi yenye utajiri wa rasilimali na utamaduni, imekuwa ikipiga hatua kubwa katika nyanja mbalimbali za maendeleo. Hata hivyo, ili kufikia ndoto ya Tanzania tunayoitaka, kuna mambo kadhaa...
Maeneo ya kando ya barabara ni fursa nzuri ya kibiashara inayoweza kutumiwa na kuleta tija nzuri kwa wakaazi na mamlaka za miji, hata hivyo, kuna umuhimu mkubwa wa kuweka mipango maalumu...
Habari za Leo tena, karibu katika jamvi la story of change, jukwaa linaloibua mawazo mapya. Leo katika Uzi wangu huu, nataka wadau wote kutoka katika sector zote, tusaidie wadau na wanazuoni...
👉Here we go again raising voice to support the country by contribution of youth.
💡Among all age groups, youth is believed to be a better stage of bringing changes due to energy and fresh thinking...
UTANGULIZI
Tanzania tuitakayo lazima tuweke misingi Bora na endelevu katika kilimo. Hii ni sekta nyeti ambayo inamchango mkubwa katika uchumi wa nchi zaidi ya asilimia 25 na kuajiri nguvu kazi...
TANZANIA TUITAKAYO NA MAARIFA YA KUJITEGEMEA.
Binadamu tunakabiliwa na changamoto kubwa za kimaisha ambazo zinahitaji suluhisho hasa katika masuala ya kiteknolojia. Ikiwa ni pamoja na jinsi ya...
Maji, kama kioo cha asili, yanaakisi hali ya mazingira yetu. Kutoka kwenye milima yenye theluji hadi kwenye mitaa ya miji, safari ya maji ni simulizi ya mabadiliko, maendeleo, na wakati mwingine...
Dhana ya kufanya biashara kwenye maduka ya dawa Muhimu (DLDM) inahatarisha maisha ya wananchi wanao kimbilia kupata huduma kwenye maduka haya .Maduka ya dawa yamerahisisha huduma ya upatikanaji wa...
Huwezi zungumzia sekta zenye mchango mkubwa katika uchumi wa nchi yetu bila kuitaja sekta ya utalii. Imekua ikichangia pato la taifa na ajira kiujumla. Licha ya uwepo na utajiri wa maliasili na...
Je, Ushawahi kupotelewa kwa Kitu cha “Thamani” au “Muhimu” …? Upatikanaji wake ulikuaje…Ulifanikiwa au Hukufanikiwa…TUANGAZIE MBINU NA NAMNA YA KULITATUA SWALA HILI.
UTANGULIZI:
Natumaini kundi...
Serikali imekuwa ikiboresha miundombinu ya shule za msingi na sekondari hapa nchini Tanzania ikiwa ni pamoja na ujenzi wa shule mpya za msingi na sekondari katika maeneo mbalimbali ya Tanzania...
In the realm of education, stories play a vital role in driving positive change and shaping the development of a country. By focusing on innovative approaches, inclusive practices, and empowerment...
Nchi ya Tanzania inaendelea kufanya juhudi kubwa tangu kupata kwake uhuru, inaendelea kupanua wigo na maendeleo makubwa katika sekta mbalimbali za kijamii na ina matarajio ya kuendelea kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.