Habari wadau,
Nauza flat screen LG inch 50 ipo katik hali nzuri maana sijaitumia muda mrefu.
Anayeihitaji na kujua bei ani PM ipo Kinondoni Dar es salaam.
Ndugu wana jukwaa habari .
Ni matumaini yangu kua mko salama kabisa na mwaendelea kulijenga taifa .
Bila kupoteza mda ningependa kujuzwa kuhusu tv mojawapo kati ya hizo nilizotaja hapo juu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.