There is a say that "there is so many women but few wives"SO i need one from these few jamani!
My introduction-Naitwa john miaka 25,nipo mwaka wa tatu chuo cha mlimani UDSM,kabila langu ni mhee...
Wapendwa wadada wa JF,
Kwa heshima na taadhima naomba kuwafahamisha kuwa mimi natafuta msichana ambaye na yeye anatafuta mwanaume ili kuweza kufunga ndoa na kuachana na maisha ya Ukapera...
Wanajamvi natafuta mwenza, me ni mama wa mtoto mmoja. Kutokana na sababu zisizozuilika nimetengana na mwenzangu. Nimekuwa mpweke kwa muda. Naomba msinibeze . Nawasilisha.
sifa.
1. Awe DADA mlokole .
2. Awe mzima wa roho na mwili.
3. Asiwe amewahi kuonjesha kwa makusudi.
4. Awe na elimu yoyote.
5. Asiwe mzee sana ( age 18-30).
Deadline 20 january 2012...
THIS IS NOT A JOKE:
NATAFUTA MSICHANA AU MWANAMKE WA KUMFANYA MCHUMBA NA HATIMAYE MKE:
SIFA ZAKE:
i. UMRI KUANZIA MIAKA 18 MPAKA 32
ii. ELIMU DARASA LA SABA HADI FORM SIX (ASIWE NA...
I am a man of below 30 yrs
natafuta mchumba awe mwalimu, miaka kati ya 24-27
mcha Mungu(mi ni mkristu), mwenye upendo, mkarimu, awe tayari kupima afya yake.
PM me please for further contact
I...
I am a man of below 30 yrs
natafuta mchumba awe mwalimu, miaka kati ya 24-27
mcha Mungu, mwenye upendo, mkarimu, awe tayari kupima afya yake.
PM me please for further contact
I present
Hi! naitwa paul nina umri wa miaka 28,ni mwanafunzi wa chuo .natafuta mchumba ili mungu akipenda,aje kuwa mke wangu wa ndoa.anatakiwa awe mkristo na mwenye hofu ya mungu,umri kati ya 18-26.kama...
Mimi ni mtanzania ninayeishi Scandinavia na nimechukua uraia wa hapa. Natafuta mpenzi/mchumba anayeishi Europe kwa sababu itakuwa ni rahisi kutembeleana na kuwasiliana. Mimi ni mtaratibu, mkimya...
Wana JF especially girls, nahitaji mdada mrembo aliyeelimika labda Diploma, Bachelor Degree, or Masters, awe faithful.
Mimi nina Masters in International Trade. Aliyetayari ani PM.
Jamani wana JF kijana mwenzenu nimechoka kuwepo kuwepo sana kwa hiyo nataka KUOA hivyo nipo kwenye mchakato wa kumpata.
Wasifu wangu
Jinsia, mwanaume
Umri, miaka 29
Dini, mkristu
Kazi...
Ni Ukweli Si Uongo wana JF. Mimi nina Miaka 30 Mwanaume Kamili..Natafuta Binti wa miaka 23-28.
Lakini ni Lazima Tuanze kama Marafiki kwa muda kadhaa tupate Kuzoeana kwa kila hali
Hi you all happy valentine.
I am trying hook up my friend with a blinddate. She is a very nice lady she has a daughter she is 5"9 caramel, nice body very smart, she doesnt smoke, drinks...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.