Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Karibuni katika Makala pendwa ambapo tunajadili mambo mbalimbali kuhusiana na ujenzi. Leo tuangazie kwenye kipengele cha Uchaguzi wa rangi(Colour) ya matilio ya kumalizia/finishing jengo Lako...
0 Reactions
2 Replies
229 Views
Nina rafiki yangu anataka kujenga nyumba ya gorofa moja, katika mchoro wa ramani architecture aliweka kua zitumike nondo za 14mm beam na 16mm columms. Katika kuanza kujenga fundi chuma alishauri...
7 Reactions
26 Replies
31K Views
Kwema ndugu, leo nikiwa maeneo fulan nilikutana na ubishi. Ubishi huo ulitokana na baadhi ya vijana wanaoishi katika kata ya Wazo, Wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es salaam. Vijana hawa walikuwa...
7 Reactions
93 Replies
7K Views
Msingi nataka kujenga wa mawe na uwe juu urefu wa mita moja. Wataalamu naombeni makadirio ya gharama inaweza kufikia kiasi gani mpaka huo mjengo ukamilike kutokana na vielelezo vinavyoonekana...
3 Reactions
34 Replies
1K Views
Wakuu haya haya haya amkeni kumekuchwa Msiseme sikuwaambia Hatimaye nimeanza kutimiza ile ndoto ya kujenga ghorofa na kwa kuanzia nimeshaleta kifusi kimoja cha mchanga. Nilipata kijisenti hapa...
11 Reactions
81 Replies
3K Views
Uwekaji wa jiwe la Msingi katika Ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara. Ujenzi wa ofisi hii hadi kukamilika kwake kutagharimu kiasi cha zaidi ya Shilingi Bilioni moja , ikiwa hadi sasa...
0 Reactions
2 Replies
134 Views
Habari Wana JF, Ninaomba ushauri wenu katika hili, nataka kujenga lodge yenye vyumba sita vyote self, iwe na kitchen ndogo reception na laundry room. Kwa mahesabu ya haraka haraka unaweza...
2 Reactions
7 Replies
553 Views
Nina uzoefu wa miaka miwili as Lab technician nimefanya Bwawa la Umeme la mwalimu Nyerere. Natafuta kazi as Civil technician Foreman Lab technician CAD technician Nipo Dar es salaam
2 Reactions
18 Replies
433 Views
Hello wajuzi. Ktk tafiti zangu, nimekuwa ninawaza kujenga Get away houses, Airbnb, na ki sehemu kwa ajili ya watu wanaotaka kuishi ktk mazingira ya nature, around sehemu fulani hivi Pwani. Mwanzo...
1 Reactions
2 Replies
376 Views
Habari wadau kwa anaeuza pagala la maeneo ya Darsalam ambazo huduma muhim zipo kama maji, umeme barabar naomba anicheki Pm.
2 Reactions
4 Replies
221 Views
wakuu msiseme sikuwashirikisha ndoto yangu ya kutaka namimi ninyee juu kabla sijaitwa na muumba. Naomba muongozo wapi zinaweza kutumika kokoto za ubuyu (zile laini) na wapi natakiwa kutumia...
3 Reactions
13 Replies
421 Views
1. Mbao inaweza kufanya kazi sawa kama nondo au/chuma. Unabisha....? -Magorofa magofu ya Bagamoyo,zege zake zina mbao badala ya nondo. 2.Kadri jengo utakavyojenga karibu na bahari,ndipo...
4 Reactions
5 Replies
730 Views
Heshima kwenu wataalam, nimehamia kikazi hapa Mwanza. Sasa nimekuja kugusa bei za nyumba nikaona kama nitawapa faids tu washkaji. Maana nyumba ya standards zangu naambiwa 3,600,000/= kwa mwaka...
13 Reactions
153 Replies
20K Views
Katika ujenzi wa kitu chochote kile michoro ni jambo lisilo epukika. Michoro ni jumla ya wazo mama la mjenzi pamoja na mawazo ya kitaalam kutoka kwa mchoraji ndio maana kabla ya kuanza ujenzi...
0 Reactions
0 Replies
179 Views
Vipi kuhusu mradi wa NHC wa safaricity arusha umetelekezwa? Anayejua muendelezo tafadhali atuhabarishe
0 Reactions
0 Replies
114 Views
Habari ndugu wana Jamii Forums, Nipo kwenye mchakato wa kumtafuta msanifu majengo anichoree ramani ya nyumba ya kuishi familia ghorofa moja ndogo simple isiyo na makorokoro mengi maana kiwanja ni...
1 Reactions
11 Replies
599 Views
Nimeona watu wengi wamekua wakikumbana na changamoto za kununua ardhi na hii ni kutokana na elimu ndogo juu ya mchakato upi sahihi wa kutambua mmiliki haswa wa kiwanja husika. Kuna hii kitu...
3 Reactions
11 Replies
682 Views
Katika ujenzi hasa wa majengo marefu (maghorofa) matumizi ya nondo ni jambo lisilo epukika. Baada ya kupata michoro kutoka kwa msanifu majengo (Archtect) michoro hiyo haina budi kupelekwa kwa...
1 Reactions
6 Replies
272 Views
Habarini wadau wa jukwaa la ujenzi na makazi, poleni na harakati za hapa na pale, kikubwa tuombe uzima tufanikishe ndoto zetu na malengo yetu. Habari njema ni kwamba nimekuja na taarifa kua kama...
3 Reactions
0 Replies
165 Views
Nikiwa naendelea na makusanyo ya pesa yangu, ya kufikia ndoto ya ujenzi wa ghorof, nimepata ramani hii na kiwanja changu ni Mita 16 kwa 14. Je wakuu hii Ramani hapa inakaa kwa ukubwa wa kiwanja...
0 Reactions
4 Replies
316 Views
Back
Top Bottom