Mkate Wa Sinia - Mkate Wa Kumimina Aina Ya Kwanza
Vipimo
1 Kikombe Cha Mchele
1 Kikombe Cha Nazi Ya Unga
1 Kikombe Cha Sukari Kupungua Kidogo
1 Kikombe Cha Maji Au Maziwa Vuguvugu
1 Kijiko Cha...
Saladi Ya Majani (lettuce) Na Mapilipili Mboga.
VIPIMO
Saladi ya uwa (ya duwara).............. 1
Matango.............. 2
Karoti.............. 2
Pilipili kubwa la kijani hoho.............. 1...
Ugali Kwa Mchuzi Wa Nyama, Mchicha, Maharage Na Chatini.
Vipimo Vya Mchuzi Wa Nyama
Nyama ya ngombe vipande vidogo............... 1kg
Nyanya............... 1
Kitunguu...
Wajuao jinsi ya kuuandaa muhogo kwa ajili ya mapishi naomba mjitokeze kuwafundisha na wengine.
Leo niliuandaa muhogo wangu lakini aliyeula alisema umekuwa mchungu sikuuandaa vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.