Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Ladies and gentlemen, its me again. The creater of stories like “How I met my wife” na “Cheaters: the series”. Nakuleteeni Goodness of fit. A story of love, blackmail, betrayal and politics...
28 Reactions
180 Replies
45K Views
SIMULIZI HII IMEKAMILIKA IMEANDIKWA NA : NYEMO CHILONGANI CHANZO : BURE SERIES SEHEMU YA KWANZA Matangazo yalikuwa yamebandikwa kila kona ndani ya Jiji la Dar es Salaam yaliyokuwa yakihusu ujio...
5 Reactions
26 Replies
15K Views
Habari za asubuhi wanajukwaa. Mimi nimpenzi wa kusoma story,Naombeni msaada kwenu natafuta story ya kusoma humu JF weekend hii. kiufupi sina appointment yoyote na nilitegemea waandishi wangu...
7 Reactions
105 Replies
5K Views
Taja film za kutisha nzuri kwako plus tamthilia. Zangu the walking dead hasa ilipokuwa inatafsiriwa na dj ommy. Conjuring zote plus Anabelle, the nun, ghost house, the hunted house, the animal, etc
3 Reactions
4 Replies
421 Views
Utangulizi Binti aliyepewa mimba na Nabii ni story ya kweli kabisa, mhanga kaniomba nisambaze ili mabinti wengine wajifunze, karibuni nyote. Anaanza kwa kusimulia. PART 1 Nimelelewa kwenye...
5 Reactions
13 Replies
3K Views
MY BOSS MY LOVE [emoji3589] NO:01 MTUNZI....... RITHA STORIES WHATSAPP.........0763836152 Kwa majina natwa Lilian Adrian jina la tatu mliache nitawatajia siku nyingine Mimi ni Binti wa miaka...
2 Reactions
15 Replies
5K Views
Episode 1: Introduction. Hii episode ya mwanzo itakua zaidi ni utangulizi (introduction) ya kujua watu na maana ya maneno yalivyotumika. Tutajitahidi ziwe ni posts fupi fupi ili isiwe tabu kwa...
11 Reactions
186 Replies
47K Views
Ep 01 Naitwa Sabrina ni mzaliwa wa bukoba kabila langu n mchanganyiko wa kihaya na kirwanda yn baba yngu akiwa mhaya na mama yngu mrwanda kabisa, nilisoma elimu ya primary na kufaulu kuingia...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Sehemu ya kwanza Katikati ya msitu mnene, giza zito likiwa limetanda kila kona ya msitu huo alionekana kijana akikimbia huku jasho likimtoka ni dhahiri alikuwa amekimbia kwa muda mrefu sana na...
4 Reactions
16 Replies
3K Views
SEVEN DAYS IN HELL (SIKU SABA KUZIMU) Episode-1 Damu nyingi zilikuwa zinanitoka upande wa kushoto wa kifua changu kiasi cha kunifanya nilowe chapachapa. Nilijitahidi kuinuka pale nilipokuwa...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Kwenye moccasin kati ya jay mo na country boy nani kampoteza mwenzake Mimi nimeipenda flow ya wizzy ngwair mdogo.
0 Reactions
0 Replies
69 Views
Wakuu, Huyu jamaa ni mmoja kati ya watu waliotoa albums zao zikafanya vema miaka ya 90, akiwa na kina Tshala Muana. Nilikuja kufuatilia habari zake nikaambiwa kwa sasa anaishi Atlanta GA kutokana...
12 Reactions
86 Replies
55K Views
Ni napenda n ninafurahishwa jinsi wasanii wetu walivyokuwa na inventive n innovative minds kwenye kuja n ideas mpya za music. Hii ngoma way back ya country, ni trap kama ckosei. At last nimeskia...
1 Reactions
2 Replies
212 Views
-Habari za kazi viongozi, nisiwachoshe niende moja kwa moja katika swali langu. -Nimekuwa msikilizaji wa nyimbo za kibongo hasa kizazi kipya. nilijipa mda kusikiliza nyimbo zilizotengenezwa na...
1 Reactions
6 Replies
282 Views
Wakuu kwa wale wapenzi wa Isidingo tuliipenda sana lakini hakuna kisicho na mwisho. Hivyo kwa sisi wafuatiliaji wa ITV wameamua kutuletea tamthilia mpya ya Uzalo, japo sina hakika kama ni mpya...
11 Reactions
2K Replies
99K Views
Kwa wale wapenzi wa Hiph-hop wote masikio yetu yameelekezwa kwenye bifu ya Drake na Kendrick. Mpaka sasa kila mmoja ameshatoa ngoma si chini ya 4 na mchuano ukionekana kuwa bado ni mkali. XXL...
0 Reactions
6 Replies
230 Views
Nawasalimu kwa jina la Chama pendwa. Kabla sijataja kumi bora yangu ya nyimbo za muziki wa Congo (Kinshasa & Brazaville) ni lazima tukubali tu kwamba bado rhumba na dansi ni miziki inayopendwa...
32 Reactions
182 Replies
18K Views
Yawatu wa jf wanaoninyanyasa na wenye masimango. https://youtu.be/Iw4t70zCf7s?si=w3y67nGwuWrbpa0q
0 Reactions
9 Replies
368 Views
Tuskilize Muziki Mzuri. https://youtu.be/SwY1pFzE8gU?si=aNUig-Pu7mkWV5re
1 Reactions
4 Replies
186 Views
Naomba kujua Elimu ya Dizasta Vina? Panorama ni kitu gani? Kwanni anajiita Black Maradona? Dizasta Vina. Alilenga nini kujiita hivyo? #forgive me.
3 Reactions
92 Replies
2K Views
Back
Top Bottom